Waliofanya jaribio dhidi ya yake hawatapendwezwa awe huru.

Waliofanya jaribio dhidi ya yake hawatapendwezwa awe huru.

Kigongoi kwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2018
Posts
539
Reaction score
632
Katika mazingira ya kawaida maadui wake waliotaka kumtoa uhai hawafurahishwi huyu bwana kuendelea kuishi.
Walitegemea wangemaliza historia yake lakini wakashindwa.
Ukiacha maeneo mbalimbali ya kisheria aliyopitia na kushinda lakini ukweli unabaki wazi kwamba hawawezi kukubali awe huru kwa sababu wanamuogopa.
Hilo jeshi la mtu mmoja si mtu wa tamaa na hata anaopingana nao kwenye siasa wanaelewa Hilo.
Kwa sasa hivi;baada ya kukamatwa na kufunguliwa kesi tumaini kubwa la watesi wake ni kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika kesi hiyo na kwamba
 
Katika mazingira ya kawaida maadui wake waliotaka kumtoa uhai hawafurahishwi huyu bwana kuendelea kuishi.
Walitegemea wangemaliza historia yake lakini wakashindwa.
Ukiacha maeneo mbalimbali ya kisheria aliyopitia na kushinda lakini ukweli unabaki wazi kwamba hawawezi kukubali awe huru kwa sababu wanamuogopa.
Hilo jeshi la mtu mmoja si mtu wa tamaa na hata anaopingana nao kwenye siasa wanaelewa Hilo.
Kwa sasa hivi;baada ya kukamatwa na kufunguliwa kesi tumaini kubwa la watesi wake ni kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika kesi hiyo na kwamba
nonsense,
hayupo wa kumuogopa kibaraka useless wa mabwenyenye ya magharibi kama huyo 🐒
 
Katika mazingira ya kawaida maadui wake waliotaka kumtoa uhai hawafurahishwi huyu bwana kuendelea kuishi.
Walitegemea wangemaliza historia yake lakini wakashindwa.
Ukiacha maeneo mbalimbali ya kisheria aliyopitia na kushinda lakini ukweli unabaki wazi kwamba hawawezi kukubali awe huru kwa sababu wanamuogopa.
Hilo jeshi la mtu mmoja si mtu wa tamaa na hata anaopingana nao kwenye siasa wanaelewa Hilo.
Kwa sasa hivi;baada ya kukamatwa na kufunguliwa kesi tumaini kubwa la watesi wake ni kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika kesi hiyo na kwamba
Aione Bashite
 
Katika mazingira ya kawaida maadui wake waliotaka kumtoa uhai hawafurahishwi huyu bwana kuendelea kuishi.
Walitegemea wangemaliza historia yake lakini wakashindwa.
Ukiacha maeneo mbalimbali ya kisheria aliyopitia na kushinda lakini ukweli unabaki wazi kwamba hawawezi kukubali awe huru kwa sababu wanamuogopa.
Hilo jeshi la mtu mmoja si mtu wa tamaa na hata anaopingana nao kwenye siasa wanaelewa Hilo.
Kwa sasa hivi;baada ya kukamatwa na kufunguliwa kesi tumaini kubwa la watesi wake ni kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika kesi hiyo na kwamba
KUMBUKA: Aliyeamuru apigwe risasi na kuawa, sasa hivi ni marehemu. Kweli maisha ni fumbo. Yaani unatoa amri fulani auawe na anapigwa risasi na kupona halafu wewe unakufa.
 
Katika mazingira ya kawaida maadui wake waliotaka kumtoa uhai hawafurahishwi huyu bwana kuendelea kuishi.
Walitegemea wangemaliza historia yake lakini wakashindwa.
Ukiacha maeneo mbalimbali ya kisheria aliyopitia na kushinda lakini ukweli unabaki wazi kwamba hawawezi kukubali awe huru kwa sababu wanamuogopa.
Hilo jeshi la mtu mmoja si mtu wa tamaa na hata anaopingana nao kwenye siasa wanaelewa Hilo.
Kwa sasa hivi;baada ya kukamatwa na kufunguliwa kesi tumaini kubwa la watesi wake ni kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika kesi hiyo na kwamba
Watashindwa kwa jina la Yesu
 
Back
Top Bottom