Kigongoi kwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 539
- 632
Katika mazingira ya kawaida maadui wake waliotaka kumtoa uhai hawafurahishwi huyu bwana kuendelea kuishi.
Walitegemea wangemaliza historia yake lakini wakashindwa.
Ukiacha maeneo mbalimbali ya kisheria aliyopitia na kushinda lakini ukweli unabaki wazi kwamba hawawezi kukubali awe huru kwa sababu wanamuogopa.
Hilo jeshi la mtu mmoja si mtu wa tamaa na hata anaopingana nao kwenye siasa wanaelewa Hilo.
Kwa sasa hivi;baada ya kukamatwa na kufunguliwa kesi tumaini kubwa la watesi wake ni kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika kesi hiyo na kwamba
Walitegemea wangemaliza historia yake lakini wakashindwa.
Ukiacha maeneo mbalimbali ya kisheria aliyopitia na kushinda lakini ukweli unabaki wazi kwamba hawawezi kukubali awe huru kwa sababu wanamuogopa.
Hilo jeshi la mtu mmoja si mtu wa tamaa na hata anaopingana nao kwenye siasa wanaelewa Hilo.
Kwa sasa hivi;baada ya kukamatwa na kufunguliwa kesi tumaini kubwa la watesi wake ni kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika kesi hiyo na kwamba