Walioahidi kuiua CHADEMA kabla ya 2020 wako wapi?

Walioahidi kuiua CHADEMA kabla ya 2020 wako wapi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,544
Reaction score
272,265
2195090_FB_IMG_1572113283461.jpg


Kuna wale walioahidi kuiua chadema kwa njia zozote ikiwemo Uchawi , leo naandika haya ni june 15 2020 , ni muda uliopita kipindi chao cha makadirio , sasa nawauliza hivi , bado ndoto yao ipo ?

Maana sasa ni dhahiri kwamba Chadema imemshinda Shetani na inakwenda kutwaa nchi hasa baada ya kutangaza hadharani kwamba itafuta ukandamizaji , zikiwemo sheria za kijinga zilizopitishwa ili kuwalinda watu fulani , kutokomeza mauaji ya wasio na hatia yaliyofanywa desturi , itaongeza mishahara ya wafanyakazi kama katiba inavyoelekeza huku ikiahidi kurudisha utaratibu wa kutoa ajira kwa vijana wa nchi hii ambao umefutwa kwa sababu zisizofahamika .

Ewe uliyeahidi kusimamia jambo hili la kuua CHADEMA ni vema ukajitokeza ili utupe mrejesho au umepanua magoli ?
 
Kuna wale walioahidi kuiua chadema kwa njia zozote ikiwemo Uchawi , leo naandika haya ni june 15 2020 , ni muda uliopita kipindi chao cha makadirio , sasa nawauliza hivi , bado ndoto yao ipo ?

Maana sasa ni dhahiri kwamba Chadema imemshinda Shetani na inakwenda kutwaa nchi hasa baada ya kutangaza hadharani kwamba itafuta ukandamizaji , zikiwemo sheria za kijinga zilizopitishwa ili kuwalinda watu fulani , kutokomeza mauaji ya wasio na hatia yaliyofanywa desturi , itaongeza mishahara ya wafanyakazi kama katiba inavyoelekeza huku ikiahidi kurudisha utaratibu wa kutoa ajira kwa vijana wa nchi hii ambao umefutwa kwa sababu zisizofahamika .

Ewe uliyeahidi kusimamia jambo hili la kuua Chadema ni vema ukajitokeza ili utupe mrejesho au umepanua magoli ?
Mwaka 2020 umeisha ?kumbe unakili kisoda hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom