Walio wengi v/s Walio wachache - Bunge la KATIBA

Walio wengi v/s Walio wachache - Bunge la KATIBA

Miwatamu

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
1,450
Reaction score
490
Kama mtu ulishindwa kuelewa maana ya neno NGUVU YA HOJA na HOJA YA NGUVU, Sasa nafikiri huu ndio muda wa kulijua hilo. Ukiangalia jinsi mawakala wa ccm wanavyotumia nguvu sana kulazimisha hoja zao pasipo uchambuzi wa kina, bali kwa kukalilishwa tu! Ni tofauti kabisa na jinsi hoja za timu ya walio wachache zinavyodadavuliwa na kumfanya hata hamnazo nini kinachozungumziwa. Kwa maana nyingine waliowengi kama mngekuwa na cha zaidi ilitakiwa kujipanga na kufanya mchanganuo wa kina kama wenzenu wachache ili kuuaminisha umm kuwa mnachotazamia kuonekana katika mfumo ujao kitakuwa tofauti na sintofahamu iliyopo sasa! Lakini kama mtabaki na lugha nyepesi kuwa matatizo yaliyopo kwenye muungano ni madogo yanayoweza kutatuliwa wakati yameshindikana kwa miaka 50, hiyo ni danganya toto.
 
Ha ha ha yani no vituko uswahili name wanatia aibu kwa kweli.
Ccm kubalini yaishe amuwezi Pam Ana ma Mungu.
 
1397239242168.jpg 1397239186243.jpg
 
Hii katiba ina mambo mwaka huu ila kweli hadi kuipata kwako kutakuwepo na viroja vingi usiku mwema
 
Kama mtu ulishindwa kuelewa maana ya neno NGUVU YA HOJA na HOJA YA NGUVU, Sasa nafikiri huu ndio muda wa kulijua hilo. Ukiangalia jinsi mawakala wa ccm wanavyotumia nguvu sana kulazimisha hoja zao pasipo uchambuzi wa kina, bali kwa kukalilishwa tu! Ni tofauti kabisa na jinsi hoja za timu ya walio wachache zinavyodadavuliwa na kumfanya hata hamnazo nini kinachozungumziwa. Kwa maana nyingine waliowengi kama mngekuwa na cha zaidi ilitakiwa kujipanga na kufanya mchanganuo wa kina kama wenzenu wachache ili kuuaminisha umm kuwa mnachotazamia kuonekana katika mfumo ujao kitakuwa tofauti na sintofahamu iliyopo sasa! Lakini kama mtabaki na lugha nyepesi kuwa matatizo yaliyopo kwenye muungano ni madogo yanayoweza kutatuliwa wakati yameshindikana kwa miaka 50, hiyo ni danganya toto.

Hoja ya nguvu nimeiona wakati mwenyekiti kamat #8 analazimisha mambo eti serikali3 zitaleta vita. Misuli imemtoka mama wa watu kulazimisha hiyo vita. Misuli imemtoka kudai tume iliyoongozwa na Jaji Warioba haikutumwa kuchukua maoni ya Muungano. Ina maana alitaka ghilba na ujanja ujanja wa Mambo ya Muungano viachwe wakati wa kukusanya maoni ili iweje?
 
"Wachache ni positive thinkers....they argue by using valid and acceptable data......kwa kweli nafarijika sana na hoja shawishi za "wachache"
 
Ha ha ha yani no vituko uswahili name wanatia aibu kwa kweli.
Ccm kubalini yaishe amuwezi Pam Ana ma Mungu.

Ukweli ni kuwa, kwenye idadi ya wabunge wa ccm wenye uwezo wa kujenga hoja hawazidi 10% kwa kiwango cha juu sana! Hivyo mtaji wao waliobaki nao ni kuzomea tu na kuomba kupiga kura kwa kila jambo.
 
inashsngazana sana mbuyu ulioshindikana kwa shoka kwa miaka hiyo 50, heti leo ukatwe kwa wembe kwa siku za kufikirika!

:flypig:
 
Kwa kweli inasikitisha sana kuona kamati karibu zote kwa upande wa ccm (wanaojiita wajumbe walio wengi) kila ripoti ni cut and paste. Kulikuwa na haja gani ya kuunda kamati zote hizo ambazo zimeongeza gharama kwa kukodi kumbi za hoteli maalufu na kutumia muda mwingi halafu ripoti zote zifanane. Pamoja na kwamba ccm walikuwa na maoni yao, inaonekana wajumbe wa ccm hawakujishugulisha na kuboresha rasimu na akili zao zimeshikiliwa na kikundi fulani.
Naona watanzania inabidi tuwe wakali kwenye masuluala yanayohusu Taifa maana naona hapa watanganyika tunachezewa akili. Hoja za ccm za kuwa tuwe na Muungano wenye Serikali ila ulifanyiwa marekebisho ambayo wamekuwa wakiyahubiri kila siku hazina hazitufai watanganyika. Hoja zao zote zimeegemea kuinufaisha zaidi Zanzibar kwa kuipa uhuru zaidi na cha ajabu wanaharilisha uvunjwaji wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano uliofanywa na Zanzibar.

Hoja za CCM za Muungano ulioboreshwa ziko wapi?????
 
Wakuu kama kuna mtu ana link ya Video ya Nondo za wachache bungen please share
 
Lusango zinduka tupo 2014 na sio 1964,wenye muungano wa 2gvnt wametangulia mbele ya haki sasa ni muda muafaka wa kuleta 3gvnt
 
Hoja za ccm ni gharama,kumuenzi nyerere,kuboresha muungano huu,kuongeza mke,muungano utavunjika hakuna la zaidi
 
Back
Top Bottom