Walio wengi v/s Walio wachache - Bunge la KATIBA

Walio wengi v/s Walio wachache - Bunge la KATIBA

Kwakweli Watanganyika tusiposhikamana kwenye hili la katiba tumeiharibu nchi yetu, na tuonyeshe mshikamano wetu hasa kwenye kura za maoni maana hali ilivyo ndani ya Bunge huenda wakafanikiwa kuwarubuni wabunge wa CUF wawaunge mkono ili wapate theluthi 2, kupitisha hoja za mufilisi,
maana wale 201 wengi walishanunuliwa kwa chai ya maghembe na Kawambwa.
 
Mungu hutumia wachache tena wanaonekana hawana nguvu ili kuwadhalilisha na kuwafedhehesha wengi.Musa pekee alimtetemesha Farao na jeshi lake.ushindi utakuja kwa uwezo wa watu wachache wanaomuamini Mungu.
 
Mi nna kazi yangu ya maana nnayoweza kutunza family yenu.

kazi ya maana ndio kuwa na ushabiki usio na maana?? acha ushabiki wa kijinga. kama ni huo u CCM hata mm ni ccm lakini kwenye swala hili siwezi kuwa mjinga. tuache ujinga
 
Back
Top Bottom