Denis Kasekenya
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 549
- 157
Mwaramusha(maths),Mgote(phy).....hatari hawa watu
mi mbuga mzeee wa machemical bhana acha
Jamani Haiden wa mathematics
Osama mzee wa kuzunguka nyuma anaenda kuonja then pind linaendelea.
sitamsahau musa aliniboa sana
Alifanya nn? huyoo
Musa yule wa Mapambano au?
Ndiyo ....