vevenononombo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,289
- 421
- Thread starter
- #21
Karibuni Sikonge huku maana gongo la leo na nyama choma ni raha tupu.
![]()
Umetisha mkuu
Karibuni Sikonge huku maana gongo la leo na nyama choma ni raha tupu.
![]()
Mimi nasubiri kujiandikisha kwenye daftar la kudumu mimeamua kukesha ili kuviluga hujuma za wakubwaMimi ni mlinzi ofic ya Chadema hapa Mbezi Tangi bovu wewe je ?
Mimi ni mlinzi ofic ya Chadema hapa Mbezi Tangi bovu wewe je ?
Walio macho muda huu tupia neno
1.mamvi
2.maviroba
3.mafunguo
4.maembe
5.mzee wa swaga za macho aka wakusizi mjengoni
........
Ndg zangu kwa nini hamna usingizi au nyie ni walinzi ofici za ccm ?
Majina ya robo fainali ya ccm haya hapa. Hii habari ni mbichi kabisa msipuuze.
. WAPIGWE TU
.BILAL
.NDANDA KOSOVO aka MAMVI
.AUGOSTINO RAMADHANI
.ASHA ROSE MIGIRO
wengine kina 6, mwenye treni la Dar, Ngwarangwara, Miguu ya ng;ombe, Chemba wanauza sura tu.
Lowasa yuko fit physically. Nilimshudia leo anakimbia kupanda jukwaani
Nchimbi kawaaga kwani anaenda wapi
Nchimbi kaukimbia mtange saa hizi yuko Nyassa anavua dagaa.
Au atatangaza nia