wiseboy thanks nipo dar lakin muda bado upo nitafuatilia arusha hyo passport.
Habarin wana mum,
Nataraj kwenda nairob mwez wa feb on 20th nahtaji kujua garama za vyumba kwa usiku katika lodge na maeneo lodge ilipo na garama za tax ikiwezekana kutoka stand.
Najua thread sio mahal pake am sory for that.
Thanks in advance.