Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Mgombea Ubunge Jimbo la Hai, ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ametahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
Amesema majira ya saa nane na nusu usiku wahuni walikuja na silaha nzito nzito waliizuia Hotel yao na kuwateka walinzi wake wawili
Mbowe anasema anaamini watu hao waliowateka walinzi wake wanalindwa na mamlaka
