Walimu watangaza mgomo

Walimu watangaza mgomo

walimu wa shule za msingi ambao ndio wengi zaidi wanatuumiza sisi wa sekondarikwa uoga wao na undumilakuwili wao sijui ni elimu finyu au sababu wengi wanatumia vyeti vya marehemu sijui afu wanarubiniwa kipuuzi anadai laki nne analipwa laki na hamsini anaridhika afu wanasitisha mgomo huku wenzao hatulipwi ila this time huu mgomo unaokuja TUTAWACHAPA bakora believe it hasa hasa wale wamama wa ''sisi enzi zetu'' tutwatumia na wale wanafunzi wetu wakorofi na a level ktk hili tushaanza stratergy muwaambie kabisa walimu wa primary awamu hii ya mgomo bakora zitawahusu wakileta umaandazi wao
 
Walimu wanapenda sana ngono ndiyo maana mshahara wao hauwatoshi
 
Kama wanadai haki yao na hawasikilizwi wala hawajui watalipwa lini huku viongozi wa magamba wanakula kodi za wananch km hawajui shida za wananch,hata mimi ni mzazi nina mtoto anayesoma serikalini najua mgomo utamkosesha masomo LAKINI KULIKO WALIMU WAFANYE KAZI BILA JUHUDI KWA SBB YA KUIDAI SERIKALI BORA WAGOME WAPEWE HAKI YAO WAFANYE KAZI KWA KUJITUMA. NAWASHAURI WAGOME MPAKA KIELEWEKE
 
"............ Walimu na Manesi tuna hali ngumu ..........."
 
mo%2Bwalimu%2B10.jpg
mo%2Bwalimu%2B9.jpg
Mwandishi HIllary Shoo anaripoti kutoka Singida kuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Mohammed Dewji (MO) amewashangaza walimu wa shule za Msingi Manispaa ya Singida pale alipowapa posho ya shilingi 50,000 kila mmoja wakati wa hafla fupi ya kuzungumzia changamoto zinazowakabili walimu hao.
dah aibu!, yan posho ya Tsh 50,000 wanaishangaa wakat wenzao wanakula Tsh150,000 daily. Kwel lazma washangae coz hawajazoea hy
 
Back
Top Bottom