Ndugu wana JF naomba kwa yeyote anayeweza kusaidia kupatikana mawasiliano ya Waziri wa Elimu anipe.
Huu ni mwezi wa pili sasa mamia ya walimu tulioajiriwa Machi2013 hatuna mishahara.
Mbaya zaidi majibu ya Maafisa Elimu na Wakurugenzi hayana utu.
Ndugu wana JF naomba kwa yeyote anayeweza kusaidia kupatikana mawasiliano ya Waziri wa Elimu anipe.
Huu ni mwezi wa pili sasa mamia ya walimu tulioajiriwa Machi2013 hatuna mishahara.
Mbaya zaidi majibu ya Maafisa Elimu na Wakurugenzi hayana utu.
Ndugu wana JF naomba kwa yeyote anayeweza kusaidia kupatikana mawasiliano ya Waziri wa Elimu anipe.
Huu ni mwezi wa pili sasa mamia ya walimu tulioajiriwa Machi2013 hatuna mishahara.
Mbaya zaidi majibu ya Maafisa Elimu na Wakurugenzi hayana utu.
Mkuu, tutajie Halmashauri ya wilaya/mji/manispaa/jiji ambao mpaka sasa hivi hamjalipwa mishahara yenu.
Mkuu, tutajie Halmashauri ya wilaya/mji/manispaa/jiji ambao mpaka sasa hivi hamjalipwa mishahara yenu.
Magu hali ni mbaya
Poleni sana. Mnazungumzia Magu gani?. Mbona walimu waliopangwa Itumbili, Rugeye, N'gwamabanza, Ilungu, Kinango, Magu, Sogesca, Kahangala na kwingineko ambao walilipoti muda mwafaka, inasemekana wameshalipwa!. Fuatilieni kwa DED mpate maelezo ya kina.
Mkuu, tutajie Halmashauri ya wilaya/mji/manispaa/jiji ambao mpaka sasa hivi hamjalipwa mishahara yenu.
Poleni sana. Mnazungumzia Magu gani?. Mbona walimu waliopangwa Itumbili, Rugeye, N'gwamabanza, Ilungu, Kinango, Magu, Sogesca, Kahangala na kwingineko ambao walilipoti muda mwafaka, inasemekana wameshalipwa!. Fuatilieni kwa DED mpate maelezo ya kina.