Najua ni kazi ngumu kuonana na Rais ana kwa ana au mhusika yeyote wizarani hasa waziri mkuu au waziri atakae husika na Elimu.Naomba aangalie hoja hii:
Mwalimu anafundisha, mwalimu huyo huyo anasahihisha kazi za wanafunzi, anasimamia usafi WA madarasa na mazingira ya SHULE kwa ujumla. Pia anatoa ushauri, kusuruhisha migogoro kwa wanafunzi, pia anasika zamu JUMA zima anahangaika na wanafunzi. Lakini mshahara analipwa kwa kazi moja tu ya kufunfisha !!
Wabunge wana Mshahara, posho za vikao vya kamati mbali mbali, posho ya vikao rasmi (sitting allowances), wana Per diem sijui kama nimepatia spelling n.k. kwa ufupi wao kila kazi inamalipo why not to teachers ? Naomba serikali yetu sikivu kama inavyo jiita utuangalia walimu kwa jicho LA kipekee kwa kutoa posho ya kufundishia katikati ya mwezi na isikatwe kodi.
Mwalimu anafundisha, mwalimu huyo huyo anasahihisha kazi za wanafunzi, anasimamia usafi WA madarasa na mazingira ya SHULE kwa ujumla. Pia anatoa ushauri, kusuruhisha migogoro kwa wanafunzi, pia anasika zamu JUMA zima anahangaika na wanafunzi. Lakini mshahara analipwa kwa kazi moja tu ya kufunfisha !!
Wabunge wana Mshahara, posho za vikao vya kamati mbali mbali, posho ya vikao rasmi (sitting allowances), wana Per diem sijui kama nimepatia spelling n.k. kwa ufupi wao kila kazi inamalipo why not to teachers ? Naomba serikali yetu sikivu kama inavyo jiita utuangalia walimu kwa jicho LA kipekee kwa kutoa posho ya kufundishia katikati ya mwezi na isikatwe kodi.