meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Mimi ni mmoja wa watu wengi wanaopinga mgomo 'feki' wa walimu uliofanyika wiki hii.naupinga kwa sababu naamini walimu na serikali yetu ni maswahiba wa siku nyingi na hakuna ushahidi kuwa uswahiba wao uliingia matatani.
Mgomo huu wa walimu uliibuka ghafla hasa baada ya kushuhudia mgomo wa kweli kutoka kwa madaktari.
Mgomo wa walimu umeletwa ili kutuaminisha kuwa utekelezaji wa madai ya madaktari unaweza kuzalisha madai mengi kutoka sekta nyingine.
Juzi niliweka thread kuwa mkoba ambaye ni kiongozi wa CWT alisaini kitabu cha mahudhurio ili asionekane amegoma,bado naamini tukio hili ni la kweli mpaka hapo mkoba atakapolishtaki gazeti lilioandika habari hii.
Leo hii tumeshuhudia CWT ikiwasihi walimu kuendelea na kazi bila kujua hatima ya madai yao.
Yaani ni usanii mtupu.
Ombi langu kwa walimu
CWT ni chama cha kisanii na kamwe hakiwezi kutetea maslahi yenu.pia mnapotaka kudai maslahi yenu msipende kuweka mbele umuhimu wenu katika jamii na kuwafanya watu wengine hawana thamani.mgomo sio kitu cha kuiga au show ya kwasakwasa.
Msipende kutumiwa kwenye kuiba kura au kukwamisha juhudi za makundi mengine ya kijamii kama mlivyofanya.
Mgomo huu wa walimu uliibuka ghafla hasa baada ya kushuhudia mgomo wa kweli kutoka kwa madaktari.
Mgomo wa walimu umeletwa ili kutuaminisha kuwa utekelezaji wa madai ya madaktari unaweza kuzalisha madai mengi kutoka sekta nyingine.
Juzi niliweka thread kuwa mkoba ambaye ni kiongozi wa CWT alisaini kitabu cha mahudhurio ili asionekane amegoma,bado naamini tukio hili ni la kweli mpaka hapo mkoba atakapolishtaki gazeti lilioandika habari hii.
Leo hii tumeshuhudia CWT ikiwasihi walimu kuendelea na kazi bila kujua hatima ya madai yao.
Yaani ni usanii mtupu.
Ombi langu kwa walimu
CWT ni chama cha kisanii na kamwe hakiwezi kutetea maslahi yenu.pia mnapotaka kudai maslahi yenu msipende kuweka mbele umuhimu wenu katika jamii na kuwafanya watu wengine hawana thamani.mgomo sio kitu cha kuiga au show ya kwasakwasa.
Msipende kutumiwa kwenye kuiba kura au kukwamisha juhudi za makundi mengine ya kijamii kama mlivyofanya.