Sorrow to Joy
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 292
- 59
kumbe tanzania kuna uchawi? Me hata siamini! Yaelekea hao walimu hawamjui mungu.
Futa kauli la sivyo utaingiliwa
kumbe tanzania kuna uchawi? Me hata siamini! Yaelekea hao walimu hawamjui mungu.
kama uabandika maharage unakuta nyama basi hapo pazuri
unajua ni nyama ya nini? Kama ni nyama ya watu?kama uabandika maharage unakuta nyama basi hapo pazuri
kama uabandika maharage unakuta nyama basi hapo pazuri
kwani hao walimu ni wakristo au waislamu!?kama wakristo walage kitimoto na kulala na mifupa yake na kula mmea kama waislamu wanywage gongo na kuvuta mmea wachawi hawasogei kamwe...wachawi mtujuze kama nadanganya
Hawaniwezi! Si rahisi kama unavyofikiria!
Wanajuaje kama wameingiliwa?
Hapo ktk budget yako ya nyama unaondoa maana nyama yapatikana bure
hiyo y akufunika maharage halafu yanageuka kuwa nyama ndo bab kubwa sanaaaaaaa....yaani hawa wanaweza kubadili barabara za vumbi zikawa lami tupu? na zile nyumba za kule dodoma kwa le mutuz zikageuka kuwa magorofa kama dubai...aaaah Tanzania weee nakupenda sana nchi yangu