Baba advent
Member
- Nov 23, 2011
- 72
- 16
serikali inajivunia kufaulisha kutokana na wanafunzi kufanya vizuri kwenye masomo hayo sababu wanafunzi wanabebwa na prac,sasa jamani kwa walimu wa masomo hayo fanyeni kama mmekosea changanyeni mambo,kinachotakiwa kuwa huku wekeni kule cha kule wekeni huku ili mradi mambo hayaendi.