Mr IQ
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 1,074
- 1,455
Nafahamu hilo... Sio mali yangu Ni mali ya Nchi...Mwalimu hicho kishikwambi sio mali Yako, vipi uneshajaza MKATABA. Wenzio wengine wanatamani kuvirudisha sababu ya masharti magumu km dawa ya kienyeji