Walimu tafadhali soma na usipuuze

Walimu tafadhali soma na usipuuze

nchasi

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2010
Posts
564
Reaction score
187
Usipopigania haki yako mwenyewe hakuna ambaye atahangaika na wewe. Ndugu walimu wenzangu hasa vijana maana wazee hawawezi kutuunga mkono wengi wao age yao ni 50 na kuendelea tgts zao ni e.

Tukutane bungeni hapo tarehe 29 walimu wote vijana na cwt wadhamini magari ya usafiri kutoka wilayani tukadai haki zetu dom. Hii serikali inabeep kwetu na ndo maana imetoa mishahara kwa baadhi ya walimu. Kenya wameweza hata tz walimu vijana tunaweza tupiganie haki zetu bila kumsubiri mkoba, ccm wala cdm maana wanaelewa matatizo yetu miaka yote lakini hakuna anaeonesha kushitushwa.

Shime cwt tulipieni mabasi kutoka kila pembe ya tz ili walimu vijana tukalete mabadiliko ktk hii nchi. Cwt kwa mwezi mnatuka hela walimu wote mamia ya mamilion ambayo mwal4mu hana hata chembe ya manufaa, onesheni ushirikiano wenu.
 
Usiwe na kiherehere usubiri rasimu mpya ya katiba maana tupo wengi sana na subira huvuta heri
 
Wazo zur sana naunga mkono cwt wameshindw. Nafikir ht misr walianza hivhiv kutokan na ukosefu wa ajir baada ya kijan 1 kujinyonga wengin wakalipuk
Ila walm waoga cna
 
mwalimu nchasi vp viroba vina kupeleka res eeeh?Tatizo lako Una Lia huku Una card ya ccm!
 
Last edited by a moderator:
Nitoke tunduru mpaka dodoma!! haki gani hiyo? acha aende yeye akatuwakilishe.
Hiyo tunduru ipo nchi gani au na wewe ndo wale wale ambao mmeridhika na unyanyasaji na ukandamizaji wa viongozi wenu wa ccm, kwa sababu kama mtu mwenye uchungu na haki yako huwez kuona dodoma ni mbali kutoka hapo tunduru. Acha mawazo ya kijanga hebu badilika wewe mwalimu unangoja nn au unadhani nani atasimama kidete kudai haki yako kama sio wewe mwenyewe,! mbona wao wanadai nyongeza ya posho kila kukicha? na hakuna cha maana wanachokifanya pale bungeni......
 
mkuu nimecheka kitu kimoja,anaedai haki hafanyi kama ww. We mwalim gani eti unaomba ulipiwe nauli tena ya kwenda dodoma?oh cwt tulipieni mabasi mh kwanini usitumie kidogo ulichonacho kutaftia haki yako? Manake cwt wasipoleta mabasi haki yako hudai tena? Hapo tu nshajua hujitambui kaa kimya tu
 
Wazo zur sana naunga mkono cwt wameshindw. Nafikir ht misr walianza hivhiv kutokan na ukosefu wa ajir baada ya kijan 1 kujinyonga wengin wakalipuk
Ila walm waoga cna

Absolutely true
 
Ni walimu wachache sana wanaakiba. Maisha ni magumu kwao na wako frustrated. Mara nyingine wanaweza kushindwa kujikomboa wenyewe kwa sababu wana limitations nyingi. Wanaweza kuhitaji msaada wa third party. Wanahitaji kujitambua na kuacha ujuaji wa kijinga. Wawe reasonable na waache unafiki kwa serikali ili mifumo iwakomboe. Vinginevyo kwa tabia zao za ubishi,ujuaji, undumia kuwili usaliti na kukosa kwao msimamo, watabaki wakilalama vizazi vyote, na hakuna anayewaangalia.

Sana sana watabaki muhimu kwa kutuweka madarakani kwa hisani ya tshirts na vi perdiem vya kusimamia kura mara moja kwa miaka mitano. Zaidi sana, ni chanzo kizuri sana kwa budget za dharura maana walimu ni watu pekee wanao katagwa mishahara yao kuchangia mambo ya dharura wasiyo yajua na bila idhini wala consent yao. Halafu wataendelea kuchekelea wakipiga makofi. Zidumu fikra za wasira!

mkuu nimecheka kitu kimoja,anaedai haki hafanyi kama ww. We mwalim gani eti unaomba ulipiwe nauli tena ya kwenda dodoma?oh cwt tulipieni mabasi mh kwanini usitumie kidogo ulichonacho kutaftia haki yako? Manake cwt wasipoleta mabasi haki yako hudai tena? Hapo tu nshajua hujitambui kaa kimya tu
 
Sasa tunaanza kuona matokeo ya BRN( Big Reflection not now but in the future).
 
Hiyo tunduru ipo nchi gani au na wewe ndo wale wale ambao mmeridhika na unyanyasaji na ukandamizaji wa viongozi wenu wa ccm, kwa sababu kama mtu mwenye uchungu na haki yako huwez kuona dodoma ni mbali kutoka hapo tunduru. Acha mawazo ya kijanga hebu badilika wewe mwalimu unangoja nn au unadhani nani atasimama kidete kudai haki yako kama sio wewe mwenyewe,! mbona wao wanadai nyongeza ya posho kila kukicha? na hakuna cha maana wanachokifanya pale bungeni......

Acha upungufu wa akili,mawazo ya kijinga unayo wewe,mimi mwalimu sio muoga najiamini ukiona mtu analialia ujue hana chanzo kingine cha mapato,we unakaa duniani unategemea mshahara??nakura yangu CCM mwakani sijaona chama cha kukipigia kura zaidi ya CCM,usilete uhuni wa kila mtu apende unachopenda wewe,,we NANI??
 
Back
Top Bottom