mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,173
- 2,873
Nimeishi na Dem Askar Askar nao njaa Kali tu asikudanganye mtu labda ubahatike uwe kitengo Cha barabaran au Doria za mara kwa mara hapo pesa ipo tofaut na hapo Ni hamna kitu maisha yao Ni sawa na Mwalimu tu ,coz jumla posho na mshahara kwa pamoja haivuk laki Saba wanachezea laki sita na vitoto na ukumbuke hiyo posho kwenye mafao haihesabik kabisa .Askari polisi mwenye elimu ya kidato cha nne:-kipato chake kwa mwezi ni kama ifuatavyo hapa chini:-
Basic salary ni Tsh.430,000/=
Posho ya chakula Tsh.300,000/=
Posho ya vinywaji Tsh.100,000/=
Posho ya mavazi Tsh. ............/=
Posho ya nyumba Tsh............./=
Bado unaweza kukuta askari huyu ni traffic barabarani,yupo idara ya upelelezi au katika vitengo vingine ambavyo sent nje ya mshahara haikosekani.
Hapo hujamgusa graduate wa jeshi la polisi!!Dah walimu tuna hali ngumu sana ndg zangu.