Walimu mtanisamehe kwa haya nitakayosema

Walimu mtanisamehe kwa haya nitakayosema

mbosso

Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
7
Reaction score
7
Walimu ni watu muhimu lakini umuhimu wao unazidi kupotea siku hadi siku. Kwani wamekuwa ni daraja la wanasiasa pindi wanapotafuta maslahi yao.

Ikumbukwe kwamba waalim ni watu muhimu katika usimamizi wa uchaguzi na wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu ya wizi wa kura kipindi cha uchaguzi.

Mfano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita baada ya mda kupiga kura waalimu walijifungia ndani na kuanza kupiga kura hewa kwa ajili kuwasaidia waliotakiwa kushinda washinde.

Hii ni baada ya kuahidiwa pesa kidogo 80000. Walimu wameuza utu wao na pia wamewauza watanzania kwa kuwapatia viongoxi ambao hawakutakiwa.

Viongozi serikalini wamekuwa wakifanya mambo ya ovyo serikalini wizi usiomithirika kwa kuwategeme waalimu wataiba kura.

Waalimu mnakwama wapi? Juzi deni la Taifa limefikia tirioni 97.ambapo katika hizo bilioni karibia 867 matumizi yake hayajulikani yalipo.

Watu wameiba karibia trilioni moja ambayo hata ingesaidia kuwapa posho ya 50,000 kila mwezi kama transport allowance.

Yote hayo hamyaoni, nyie ndio daraja kuzuia na kudhibiti wizi wa kura ili tupate viongozi wazuri lakini nyie mmekuwa viziwi.

Hamsikii la mtu wakati viongozi wakiendelea kutuibia pesa za walala hoi waalimu hamkeni
 
Walimu ni watu muhimu lakini umuhimu wao unazidi kupotea siku hadi siku. Kwani wamekuwa ni daraja la wanasiasa pindi wanapotafuta maslahi yao.

Ikumbukwe kwamba waalim ni watu muhimu katika usimamizi wa uchaguzi na wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu ya wizi wa kura kipindi cha uchaguzi.

Mfano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita baada ya mda kupiga kura waalimu walijifungia ndani na kuanza kupiga kura hewa kwa ajili kuwasaidia waliotakiwa kushinda washinde.

Hii ni baada ya kuahidiwa pesa kidogo 80000. Walimu wameuza utu wao na pia wamewauza watanzania kwa kuwapatia viongoxi ambao hawakutakiwa.

Viongozi serikalini wamekuwa wakifanya mambo ya ovyo serikalini wizi usiomithirika kwa kuwategeme waalimu wataiba kura.

Waalimu mnakwama wapi? Juzi deni la Taifa limefikia tirioni 97.ambapo katika hizo bilioni karibia 867 matumizi yake hayajulikani yalipo.

Watu wameiba karibia trilioni moja ambayo hata ingesaidia kuwapa posho ya 50,000 kila mwezi kama transport allowance.

Yote hayo hamyaoni, nyie ndio daraja kuzuia na kudhibiti wizi wa kura ili tupate viongozi wazuri lakini nyie mmekuwa viziwi.

Hamsikii la mtu wakati viongozi wakiendelea kutuibia pesa za walala hoi waalimu hamkeni
ZAMANI KUWA MWALUMU ULIKUWA FAHARI LAKN SIKU HIZI HOVYO HAMNA KITU 🤮🤮🤮.
WALIMU WALIMUWEPO ZAMANI, MFANO MWALIMU JULIUS K' NYERERE
HATA POLISI NI ZAMANI SIKU HIZI KAMA TOFAUTI NA WAHALIFU NI NDOGO TU
 
Walimu akili zao kama matahira.
Unaweza ukawatesa mpaka walie halafu dk za majeruhi wape semina na bahasha ya sh. Laki 3 tu umewamaliza.
Watafanya lolote utakalowaambia
 
Wewe mbumbumbu umejiandikisha kupiga kura?au unatoa lawama za Bure tuu,wengi wenu Huwa hamjiandikish na kupiga kura halafu mnaleta lawana za kijinga jinga.maswala mengine yanahotaji baadhi ya Sheria kubadilika.watu wengi kwenye jamii sio waadilifu na waaminifu hata kidogo,kwa hyo hata wasingesimamia waalimu bado tatizo ni lile lile.kwenye KITUO CHA kura Huwa wanakuwepo mpaka maaskari,na mawakala wa vyama vya siasa Sasa kwa nini tunawalaumu waalimu.
 
Walimu ni watu muhimu lakini umuhimu wao unazidi kupotea siku hadi siku. Kwani wamekuwa ni daraja la wanasiasa pindi wanapotafuta maslahi yao.

Ikumbukwe kwamba waalim ni watu muhimu katika usimamizi wa uchaguzi na wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu ya wizi wa kura kipindi cha uchaguzi.

Mfano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita baada ya mda kupiga kura waalimu walijifungia ndani na kuanza kupiga kura hewa kwa ajili kuwasaidia waliotakiwa kushinda washinde.

Hii ni baada ya kuahidiwa pesa kidogo 80000. Walimu wameuza utu wao na pia wamewauza watanzania kwa kuwapatia viongoxi ambao hawakutakiwa.

Viongozi serikalini wamekuwa wakifanya mambo ya ovyo serikalini wizi usiomithirika kwa kuwategeme waalimu wataiba kura.

Waalimu mnakwama wapi? Juzi deni la Taifa limefikia tirioni 97.ambapo katika hizo bilioni karibia 867 matumizi yake hayajulikani yalipo.

Watu wameiba karibia trilioni moja ambayo hata ingesaidia kuwapa posho ya 50,000 kila mwezi kama transport allowance.

Yote hayo hamyaoni, nyie ndio daraja kuzuia na kudhibiti wizi wa kura ili tupate viongozi wazuri lakini nyie mmekuwa viziwi.

Hamsikii la mtu wakati viongozi wakiendelea kutuibia pesa za walala hoi waalimu hamkeni
Unachosema KATIBA, Bunge,Mahakama na vyombo vya ulinzi vinamlinda Mwanasiasa asitoke katika kiti chake mwalimu Hana uwezo wa kugomea mambo kama hayo hata kiduchu ukizingatia WALIMU wapo wengi sana mtaani hata wakitaka mabadiliko tunawapiga chini tunamuajili mwanao KARIBU CCM ww acha maneno ya kuwaonea Walimu watu hawana hata Silaha
 
Walimu ni watu muhimu lakini umuhimu wao unazidi kupotea siku hadi siku. Kwani wamekuwa ni daraja la wanasiasa pindi wanapotafuta maslahi yao.

Ikumbukwe kwamba waalim ni watu muhimu katika usimamizi wa uchaguzi na wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu ya wizi wa kura kipindi cha uchaguzi.

Mfano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita baada ya mda kupiga kura waalimu walijifungia ndani na kuanza kupiga kura hewa kwa ajili kuwasaidia waliotakiwa kushinda washinde.

Hii ni baada ya kuahidiwa pesa kidogo 80000. Walimu wameuza utu wao na pia wamewauza watanzania kwa kuwapatia viongoxi ambao hawakutakiwa.

Viongozi serikalini wamekuwa wakifanya mambo ya ovyo serikalini wizi usiomithirika kwa kuwategeme waalimu wataiba kura.

Waalimu mnakwama wapi? Juzi deni la Taifa limefikia tirioni 97.ambapo katika hizo bilioni karibia 867 matumizi yake hayajulikani yalipo.

Watu wameiba karibia trilioni moja ambayo hata ingesaidia kuwapa posho ya 50,000 kila mwezi kama transport allowance.

Yote hayo hamyaoni, nyie ndio daraja kuzuia na kudhibiti wizi wa kura ili tupate viongozi wazuri lakini nyie mmekuwa viziwi.

Hamsikii la mtu wakati viongozi wakiendelea kutuibia pesa za walala hoi waalimu hamkeni
We kenge km umeshindishwa siasa jukwaani usitafute wa kumsingizia, pambaneni humo jukwaani vinginevyo tafuta shughuli nyingine.
 
Walimu ni watu muhimu lakini umuhimu wao unazidi kupotea siku hadi siku. Kwani wamekuwa ni daraja la wanasiasa pindi wanapotafuta maslahi yao.

Ikumbukwe kwamba waalim ni watu muhimu katika usimamizi wa uchaguzi na wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu ya wizi wa kura kipindi cha uchaguzi.

Mfano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita baada ya mda kupiga kura waalimu walijifungia ndani na kuanza kupiga kura hewa kwa ajili kuwasaidia waliotakiwa kushinda washinde.

Hii ni baada ya kuahidiwa pesa kidogo 80000. Walimu wameuza utu wao na pia wamewauza watanzania kwa kuwapatia viongoxi ambao hawakutakiwa.

Viongozi serikalini wamekuwa wakifanya mambo ya ovyo serikalini wizi usiomithirika kwa kuwategeme waalimu wataiba kura.

Waalimu mnakwama wapi? Juzi deni la Taifa limefikia tirioni 97.ambapo katika hizo bilioni karibia 867 matumizi yake hayajulikani yalipo.

Watu wameiba karibia trilioni moja ambayo hata ingesaidia kuwapa posho ya 50,000 kila mwezi kama transport allowance.

Yote hayo hamyaoni, nyie ndio daraja kuzuia na kudhibiti wizi wa kura ili tupate viongozi wazuri lakini nyie mmekuwa viziwi.

Hamsikii la mtu wakati viongozi wakiendelea kutuibia pesa za walala hoi waalimu hamkeni
Kama ana shida ya muhimu ya Tsh 30,000 halafu hana na hajui pa kuipata.

Then, dili la Tsh 80,000 nikatokea chapu, hapo lazima aelekee kibla kuipambania hii 80k bila kuwaza mara mbili.

Shida binafsi nazo ni kikwazo cha mambo mengi
 
Baada ya hizi lawama zote Kama intellectual njoo na suluhisho.. walimu na watumishi wanaweza wasitumiwe katika uchaguzi na bado CCM wakaiba kwa kiwango Cha lamii,,, mnacha ku attack shina mnashambulia matawi,,,,Mfumo wa uchaguzi umeoza kuanzia kwa Boss wa NEC had msimamizi wa kituo
 
Walimu ni watu muhimu lakini umuhimu wao unazidi kupotea siku hadi siku. Kwani wamekuwa ni daraja la wanasiasa pindi wanapotafuta maslahi yao.

Ikumbukwe kwamba waalim ni watu muhimu katika usimamizi wa uchaguzi na wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu ya wizi wa kura kipindi cha uchaguzi.

Mfano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita baada ya mda kupiga kura waalimu walijifungia ndani na kuanza kupiga kura hewa kwa ajili kuwasaidia waliotakiwa kushinda washinde.

Hii ni baada ya kuahidiwa pesa kidogo 80000. Walimu wameuza utu wao na pia wamewauza watanzania kwa kuwapatia viongoxi ambao hawakutakiwa.

Viongozi serikalini wamekuwa wakifanya mambo ya ovyo serikalini wizi usiomithirika kwa kuwategeme waalimu wataiba kura.

Waalimu mnakwama wapi? Juzi deni la Taifa limefikia tirioni 97.ambapo katika hizo bilioni karibia 867 matumizi yake hayajulikani yalipo.

Watu wameiba karibia trilioni moja ambayo hata ingesaidia kuwapa posho ya 50,000 kila mwezi kama transport allowance.

Yote hayo hamyaoni, nyie ndio daraja kuzuia na kudhibiti wizi wa kura ili tupate viongozi wazuri lakini nyie mmekuwa viziwi.

Hamsikii la mtu wakati viongozi wakiendelea kutuibia pesa za walala hoi waalimu hamkeni
Hupo sahihi kabisa,yaliyoyafanyika 2020 ilibidi nikatae kuchukua posho aisee.Nilishangaa sn walimu wanaangamiza taifa(Lisu alipata kura kibao lakini walimwandikia 0 kwa maelekezo ya DED)kisa laki 2.Nashukuru Mungu sikuchukuaga hile hela ingenitesa sana.
 
Back
Top Bottom