digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,907
- 14,378
Wewe ndo KICHWA NGUMU,mwaka wa pesa unaanza mwezi wa ngapi!? Ikiwa walipanda mwezi wa tano,au hujui hata mwaka wa fedha wa serikali huanza lini,ngoja nikuelimishe,mwaka wa fedha wa serikali huanza mwezi wa saba,hivyo waliopanda mwezi wa tano mwaka huu walipanda kwa bajeti ya mwaka jana,bajeti ya mwaka huu bado watu hawajapanda ndo hao wanaotegemewa kupanda
Una kichwa kigumu,hao waliopanda ni mwaka wa fedha ambao haujaisha.