Walimu, hivi CWT wataendelea kuwaibia mpaka lini?

Walimu, hivi CWT wataendelea kuwaibia mpaka lini?

Aisee!! Inahuzunisha!! 😟😟Haya yote yanaletwa na CCM! Maana sehemu ya hela za kampeni zao huchota huko.
Hii nchi watu watapata nafuu siku wakiikataa ccm,maana mipango ovu yote ya unyonyaji ccm ndio mkurugenzi
 
Kuna watu walijitoa CWT wakaingia CHAKAMWATA. CWT ikaenda mahakamani wakarudishwa wote waliojitoa
Hao CHAKAMWATA nao wapigaji hivi ugovi wao viongozi ulishia wapi maana tulisikia wanagombania pesa zilizopo bank
 
Kama kuna mtu ana kudhulumu na kukuumiza na huna nguvu za kumdhibiti, at least NUNA. Ili hata dhulumati mwenyewe ajue umechukia.

Tumesoma kwenye vita ya majimaji, licha ya wamatumbi kupigwa lakini wakoloni walijifunza kwamba hawa watu hawapendi tunachofanya.

Sasa walimu ni kama misukule, siku ya Mei mosi matumbo mbele, T shirt za CWT na vibendera na nyimbo za kuabudu.

Kama hilo halitoshi walimu wengi ni CCM damu.

Kwahiyo Wewe Unaona kama wanaonewa ila wao wanaona wako vizuri tu maana ingekuwa mbaya wao ni CWT wasingekubali mialiko yake siku ya Mei mosi
Kwa mtindo huu wakuambiwa wafunge mikanda ili T shirt zinunuliwe naanza kuwa na doubt CWT michango yao uko hazina hawapewi sema kulalamika wanaogopa

Yani pengine mwalimu anakatwa ila hazina haiwapi CWT gawio lao, pesa inaenda kujenga reli ya umeme nk. kwaiyo kuna haja CWT wakawa wanatagaza kwa wana chama kila mwezi gawio wanalopata, na matumizi yake kwa uwazi
 
Michango mnayochanga kila mwezi inafanya kazi gani, leo mnambiwa mfunge mikanda miezi miwili gawio lenu la kila mwezi linaenda nunua T shirt za Mei mosi 2021.

Huu si uhuni huu, fedha inazokusanya kila mwezi inafanya shughuli gani na kwanini haya mambo muambiwe mwaka huu tu miaka mingine pesa za T shirt walitoa wapi?
View attachment 1719370
Tanzania ni nchi ya wanyonge na walimu ni wanyonge zaidi, hakuna jambo baya kama kumtetea mtanzania mnyonge kwani anaweza akakukana akipewa kepu (kofia ya kijani).
 
... Ok. Sijaona financial statements zao.
Hauhitaji kuziona, siku zote CWT hujifanya ni tawi la CCM ili wapate kinga.
Hakuna waajiriwa mbumbumbu nchini kama walimu, na ndio wanaoongoza kwa kuporwa mishahara na mafao ya ustaafu, subiri Mei Mosi utawaona wanavyotumiwa kijinga.
 
Walimu ni watumishi wa ajabu sana. Hawana akili kabisa. Zamani mwanaume alieoa mwanamke mwalimu alikua anaonekana amefanya chaguo jema na zuri. Lakini saivi ni kama umeoa ombaomba mtu asiejitambua
 
Tatizo watu kila wakijitoa wanarudishwa hakuna mwalimu anaetaka akatwe 2% kila mwezi
Wakirudishwa bila kuridhia si wakamshtaki mwajiri kwa kukata mshahara wao bila ridhaa. Walimu wanakiendekeza sana hiki chama, wanajiumiza wenyewe
 
Wakirudishwa bila kuridhia si wakamshtaki mwajiri kwa kukata mshahara wao bila ridhaa. Walimu wanakiendekeza sana hiki chama, wanajiumiza wenyewe
Wao wenyewe wameridhia kukatwa mishahara yao huku wakijua chama chao hakiwasaidii kwa lolote lile.
 
Ujinga flan, wamekata hela za wanachama af wanefanyia ujinga
tapatalk_1618713862422.jpeg
 
Hela ya makato ya CWT inauma sana hasa pale unapoiangalia salary slip yako vijizi sana hivi vijamaa af vimejipendelea rav4 kila wilaya kifupi tunaomba Mh Raisi atoe ruksa kuwe na vyama mbalimbali vya walimu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom