MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,354
Chonde chonde walimu naona technolojia hii sasa itatutoa ktk ethics za ualimu.
Clip hapo chini ya wanafunzi waliokutwa na Bangi na Viroba wakati wa masomo.
Walimu wamerecord na kuirusha hewani.
Ni majibu kwa ile ya Mbeya au?
Clip hapo chini ya wanafunzi waliokutwa na Bangi na Viroba wakati wa masomo.
Walimu wamerecord na kuirusha hewani.
Ni majibu kwa ile ya Mbeya au?