Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Waziri wa Elimu, Profesa Mkenda akizungumza na Walimu na Wadau wa elimu amesema kuwa ''Tunakemea walimu wote wanaowarekodi wanafunzi wanaokosea na kusambaza clips kwenye mitandao ya kijamii, wanafunzi wana faragha zao wanapokosea hawapaswi kurekodiwa na kusambazwa''
Picha: Waziri wa Elimu Profesa Mkenda (Aliyesimama)
Picha: Waziri wa Elimu Profesa Mkenda (Aliyesimama)
Last edited: