Jese Pinkman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 661
- 338
Mwanaume anayejielewa hawez kumla tigo mtu kimazingira hayo
Si tu kimazingira kama una akili timamu uwezi kufanya uchafu huo kwa jinsia yoyote
Mwanaume anayejielewa hawez kumla tigo mtu kimazingira hayo
So umemsaidiaje kwa kuzidi kumuanika?Je, usingeweza kufikisha ujumbe wa kukataza pombe kivingine? A little sensitivity!!
sijui baadhi ya ME wameingiwa na mdudu gani vichwani?
Ndugu yangu internet na DVD za Ngono zinazidi kubadilisha mawazo ya jamii inapofika mambo ya Ngono jinsia zote zimekubwa na balaa hilo unakuta kike kwa kiume wanangalia na kujaribu walichokiona huku walipata visingizio eti wanaepusha mimba kwa sasa isitoshe hao walevi wengine hunywa na kujiangusha kwa makusudi wakijuwa nini wanakitafuta wafanyiwe hizo kesi zipo nyingi .
COARTEM umeonaje makalio wkt kwenye picha jamaa kavaa suruali na kanga juu na hiyo harufu inawezekana kajinyea sabab ya pombe au alianguka toilet huko kilabuni. Amelewa kwa starehe zake pombe tamu usithubutu kuonja.
Huyo anapenda kuliwa tigo tu na wanaume nao wana roho ngumu aisee
Si wanume tu Dada mengine tuyawache tufunike kombe sasa imekuwa fesheni kina dada kujibiruwa kama vile funza ili wasipate mimba na pia wanasema wanapata Raha zaidi huko soma zaidi ujionee inasikitisha
Duh washafumua marinda hahahahahah pombe sio chai aiseeee!!
Nasikia mwanamke aikupa tigo huwezi kumuacha na pesa zote zitaishia kwake. Nisamehewe siwezi kufanya utafiti mimi binafsi