Walevi wa pombe someni hapa

Walevi wa pombe someni hapa

hahaha huyo jamaa kama nimemuona jf humu ngoja aje hapa.
 
mwenzio akinyolewa na wew tia maji..ukiuwa kwa upanga utauawa kwa upanga ..umemuanika mtandaoni utaanikwa maradufu becare ...udhalilishaji sio kitu kidhuli hata km ukifanya mabaya kiasi gan ..ungetoa maelezo ingetosha sana watu kujifunza ila picha?? km tupo kwenye jukwaa la matangazo madogo vile.
Mkuu watu wengi hutaka evidence za picha, Okay........kama hizo picha ni za kudharilisha naomba MODDS wazifute na waifunge hii Topic, ila ukweli utabakia palepale..ULEVI NI NOMA: Sura ya muhusika nimeificha sasa hapo udharilishaji upo wapi? Au mnapenda vitu vya uwongo uwongo?....
 
Hizo sio bia labda mataputapu,
sisi wanywa bia Tanzania nzima hatunaga hizo, sisi gauge ikisoma 120 wachache wetu huwachukua waheshimiwa mabaamedi aka mkombozi wa mnyonge. Na wengine tukilewa tunawahi nyumbani.
Hii hufanywa na wanaotumia hela zao na si wale wa bia za ofa.
 
Haya mambo ya kumtenda mtu kinyume na maumbile ni uchafu na ina madhara makubwa sana. Watu wenye kuelewa waelewe.
 
Mwanaume anayejielewa hawez kumla tigo mtu kimazingira hayo

Kwani Mkuu kuna mazingira gani yanayoshawishi kumla tigo mtu? Ptyuuuuuuuuuuuu! Ni uchafu, hata kama kuna mazingira yanayoshawishi!!
 
hujuwi wengine ni kisiki ni kwaeee
 
Hizo sio bia labda mataputapu,
sisi wanywa bia Tanzania nzima hatunaga hizo, sisi gauge ikisoma 120 wachache wetu huwachukua waheshimiwa mabaamedi aka mkombozi wa mnyonge. Na wengine tukilewa tunawahi nyumbani.
Hii hufanywa na wanaotumia hela zao na si wale wa bia za ofa.

Exactly....hii ni kwa walevi,sisi wanywaji hii haitokei kamwe!Unakunywaje km mwehu hujui hata limit yako/alafu shule ya uhuru pale vimezunguka vibanda vya gongo na kete tu....wacha wamegane....!
 
sijui baadhi ya ME wameingiwa na mdudu gani vichwani?
 
Waliofanya tendo hilo la ulawiti hao ni mashetani tu wanaweza kumlawiti hata maiti,kuna faida ipi hapo.ni kweli ulevi noma lakini tukemee vitendo hivi ktk jamii.

Shetani hahusiki na dhambi ya kulawiti. kuna taasisi iliyo chini zaidi ya shetani ndio inahusika na huu ubaradhuli. yaani ukilawiti ukikompea na utakako tupya. jehanam utapaona pana baridi
 
Hivi mtu wa kunyooshewa kidole hapa ni huyo bwana aliyelewa au hao waliomlawiti huyu bwana???
 
wewe acha kabisa washapasi hapo..... ila jaamni watu wanajitafutia magomjwa jamani
 
wewe acha kabisa washapasi hapo..... ila jaamni watu wanajitafutia magomjwa jamani

Uki doo kinyume na maumbile nyama nyama yaani bila kondom baadae ktk maisha yako utapata ugonjwa wa kushindwa kukojoa. Mifano iko mingi sana. niwaseme ????
 
Hali ngumu ya maisha huongeza wendawazimu.
Ova.
 
Back
Top Bottom