Walevi wa pombe someni hapa

Walevi wa pombe someni hapa

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,617
Reaction score
3,680
Jamaa mmoja (ninaye mfahamu kabisa) leo asubuhi kama saa 1 hivi ameonekana maeneo fulani ya JIJI la DSM akiwa amevaa kanga tu na chupi mkononi huku akiwa hoi kwa pombe. Katika uchunguzi wa awali imeonekana Vijana wasiokuwa na huruma wa utu wamemuingilia kinyume na maumbile maeneo ya Shule ya Uhuru. Wasamaria wema walio kutana naye wakampa Kanga na suruali chakavu avae ili kusitiri utupu wake. Jamaa alikuwa ananuka kinyesi na Vitu vyeupe vikimteleza nyuma kwenye makalio. Inasemekana baadhi ya Vijana wameshashuhudia jamaa akiingiliwa kinyume na maumbile pindi anapokuwa chakali na POMBE.
Zifuatazo ni picha baada ya wasamaria wema kumsitiri kwa kumpa Kanga na Suruali iliyo chakaa.

1. Hapa anajisifia kwa kuvaa kanga.
photo1032.jpg
2.Hapa anaendelea kutukanana na Vijana wanaomsema.
photo1030.jpg

3. Pombe bado haijamtoka hivyo bado hapo anaendelea kutukanana na Vijana.
photo1029.jpg

4. Hapa baadhi ya vijana wakimkumbatia kama wanataka kwenda kuendelea kumtafuna.
photo1028.jpg

MY TAKE: Kama unandugu yako anaulevi wa namna hiyo wa kupoteza NETWORK hapa DSM basi atakuwa ameshatafunwa na Vijana. POMBE zinafanya wanaume walevi kufanyia vitendo vibaya ambavyo vinawapelekea kujiingiza kwenye tabia za Kishoga. CHONDE CHONDE ULEVI NI NOMA..........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Attachments

  • photo1032.jpg
    photo1032.jpg
    132.8 KB · Views: 1,030
Mbona unaficha uso wake ? Vyangu wote hawa na manungayembe yoote haya bado mtu unamtigo mwanaume ? hivi inaraha gani ? harufu ya kinyesi haiwakeri ?
 
Mbona unaficha uso wake ? Vyangu wote hawa na manungayembe yoote haya bado mtu unamtigo mwanaume ? hivi inaraha gani ? harufu ya kinyesi haiwakeri ?

Nimefanya hivyo kuficha kutambulika.
 
Mbona unaficha uso wake ? Vyangu wote hawa na manungayembe yoote haya bado mtu unamtigo mwanaume ? hivi inaraha gani ? harufu ya kinyesi haiwakeri ?

usela Mav.i kuna mambo yamepitwa na wakati kwakweli.
 
Kuna watu hawajifunzi kwa kuambiwa,ni mpaka kwa vitendo!.sasa we endelea
 
Kuna mlevi na mnywaji. Huyo ni mlevi tena mbwa. Na pombe aliyokunywa itakuwa ni ileee ya mtaani kwa mama Kisebengo.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Sasa walivyomtovuga ki.jambio kwani chenyewe ndio kinapiga mma? Wange dili na mdomo unaopitisha gambe any way huo ni ulevi mbwa.
 
Sasa kanga ya nini na suruali kavaa?
Au ndo tuseme walipasua suruali eneo husika?
Huo ni ulevi wa kilevi gani?
 
Jamaa mmoja (ninaye mfahamu kabisa) leo asubuhi kama saa 1 hivi ameonekana maeneo fulani ya JIJI la DSM akiwa amevaa kanga tu na chupi mkononi huku akiwa hoi kwa pombe. Katika uchunguzi wa awali imeonekana Vijana wasiokuwa na huruma wa utu wamemuingilia kinyume na maumbile maeneo ya Shule ya Uhuru. Wasamaria wema walio kutana naye wakampa Kanga avae ili kusitiri utupu wake. Jamaa alikuwa ananuka kinyesi na Vitu !!!
Hayo maelezo mbona yapo tofauti na picha inavyoonekana?
Ni kwelia mhusika amevaa kanga lakini pia amevaa na suruali(hajavaa kanga tu)
Mkononi hajashika chochote.
 
Atakuwa amechangia kodi ya kutosha, msaidiesni aendelee kulipa kodi mashangingi yanasubiri mafuta
 
Nasikia mwanamke aikupa tigo huwezi kumuacha na pesa zote zitaishia kwake. Nisamehewe siwezi kufanya utafiti mimi binafsi
 
mwenzio akinyolewa na wew tia maji..ukiuwa kwa upanga utauawa kwa upanga ..umemuanika mtandaoni utaanikwa maradufu becare ...udhalilishaji sio kitu kidhuli hata km ukifanya mabaya kiasi gan ..ungetoa maelezo ingetosha sana watu kujifunza ila picha?? km tupo kwenye jukwaa la matangazo madogo vile.
 
Back
Top Bottom