Walevi nawaomba hapa leo

Walevi nawaomba hapa leo

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,583
Reaction score
66,264
Una jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii

1775666756868.jpeg
 
Sheria ni unakula then ndo unakunywa.. Huwezj shushia chakula kwenye pombbe bali chakula ndo unashushia pombe
Unyama fanya yote piga piga bia kisha supu kisha bia tena malizia mwisho funga na supu..hii ni kama unakunywa kwa masaa mengi ..mfano umeanza kunywa mchana kama saa 7 na kumaliza usiku kama saa 3
 
Back
Top Bottom