Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,264
Una jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii
Supu ya kuku ni shombouna jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii
View attachment 3569524
Supu gani ndio mzuriSupu ya kuku ni shombo
Sheria ni unakula then ndo unakunywa.. Huwezi shushia chakula kwenye pombe bali chakula ndo unashushia pombeuna jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii
View attachment 3569524
Kongoro au uyoga au supu ya kongoro ya mbuzi.Supu gani ndio mzuri
Huwa tunasema lazima uweke foundation kwa hiyo supu ni kabla ya kunywa...Una jisikiaje ukisha kunywa bia zako au wine au pombe kali kisha uka shushia na mlo kama huu pilipili ikiwa nyingiii
View attachment 3569524
Unyama fanya yote piga piga bia kisha supu kisha bia tena malizia mwisho funga na supu..hii ni kama unakunywa kwa masaa mengi ..mfano umeanza kunywa mchana kama saa 7 na kumaliza usiku kama saa 3Sheria ni unakula then ndo unakunywa.. Huwezj shushia chakula kwenye pombbe bali chakula ndo unashushia pombe
Wazee wa moja na mbiliUnyama, na wakati unakunywa unatafuna na korosho au Karanga , baada ya vitu unapiga supu zinto yenye mchanganyiko wa maziwa fresh , karibu bia hapa bwashee 😊
Hii isha niumbuaa kuwa mm sio mleviSheria ni unakula then ndo unakunywa.. Huwezj shushia chakula kwenye pombbe bali chakula ndo unashushia pombe
Na ww una tumia biaHuo ukiupiga kabla hujaanza kunywa ni balaa!!!! Ndo inakuwa ile Malaya kaona bia hakuna kulewa.
Baada ya kulewa huo msosi ntakula kidogo sana.
Au sioKongoro au uyoga au supu ya kongoro ya mbuzi.
Wachaga wamefika sasa 🤣Supu kwa bia!!?? Bia kwa nyama mzee 😂
Mapema sana mimi tenaWazee wa moja na mbili
Kuna vingi natakiwa kujifunza kwenuHuwa tunasema lazima uweke foundation kwa hiyo supu ni kabla ya kunywa...
Ukilewa una tupiga spana hapa 🤣🤣Mapema sana mimi tena
Kivip bwashee ?Ukilewa una tupiga spana hapa 🤣🤣