xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,320
- 4,696
Kwann unauza? Sh ngapi?Nafikiria kuiuza mi note 5 pro yangu jama, nani anaweza fika bei
Kwann unauza? Sh ngapi?Nafikiria kuiuza mi note 5 pro yangu jama, nani anaweza fika bei
Hiyo ni around 400K Kulingana na link uliyotoa ila seller haship Tanzania hapo ndio penye shida.US $159.99 | Global Version Xiaomi Redmi Note 6 Pro 64GB ROM 4GB RAM (Brand New and Sealed) note6 pro
https://s.click.aliexpress.com/e/M7pwbtO
Mwl.RCT bei ngapi hii mpka inafika mfukoni kwangu
Mkuu check PM yako tafadhali.poa nmechukua no yako nakuchek
Lete 400k nikuachie yangu nimeichukua mwezi wa 2 kama hutaki kusotea simu mwezi mzima huko aliexpress ina kila kitu chake.Kwann unauza? Sh ngapi?
Xiaomi zitatuua mazee ata mm yangu redmi 7 alete tu mia nne tuLete 400k nikuachie yangu nimeichukua mwezi wa 2 kama hutaki kusotea simu mwezi mzima huko aliexpress ina kila kitu chake.
Note: Haiko sokoni ila kama utanishawishi na hilo Dau utanivua maana mimi sikuchukua bei hiyo mzee ni note 6 pro 3 RAM 32GB black.
Au agiza.
Unasubir mzigo mzima na ukifika unawaza Dah watu custom watapita nao nini yaani ile siku unatoka hapo Posta teller kama hujaguswa na T.R.A ukifika nje unashukuru kwanza😂.Xiaomi zitatuua mazee ata mm yangu redmi 7 alete tu mia nne tu
Live m nilichanganyikiwa nikadhani ndugu yangu mr mobile labda ameenda kuwekeza kwenye zabibu huko Dodoma kumbe laahUnasubir mzigo mzima na ukifika unawaza Dah watu custom watapita nao nini yaani ile siku unatoka hapo Posta teller kama hujaguswa na T.R.A ukifika nje unashukuru kwanza😂.
Weka picha acha kelele nisije nikakupiga banHabari ndugu zangu...asee natumia redmi note 7 camera ya GCAM ni hatari nyingine kabisaa
Hujui ku upload picha ??Habari ndugu zangu...asee natumia redmi note 7 camera ya GCAM ni hatari nyingine kabisaa
Kula 150, nipo Dom pia~Xiaomi Redmi 5 2GB RAM, 16GB ROM, SNADRAGON 450, 5.7" screen, 3300mAh battery, Gold
~Condition: Used like a new
~Price: 280k or Best offer
~Location: Dodoma
~Contact: 0759110633 WhatsApp/Call/SMS
View attachment 1129353View attachment 1129354View attachment 1129355View attachment 1129356View attachment 1129357
Ni hela nyingi, lakini hailipi!Kula 150, nipo Dom pia
Hahaha haya ni matusi sana aseee😂😂 hata kama biashara huria yaani bei ya Tecno Spark 7 ununue note 5.Kula 150, nipo Dom pia
Sorry boss picha nlizopiga zote sio nzur kuweka jf imenibidi ntoke nje nipige zingine mkuu wangu ambazo ni common...nmeogopa ban kutoka kwakoWeka picha acha kelele nisije nikakupiga ban
Comparison na Stock Camera.Sorry boss picha nlizopiga zote sio nzur kuweka jf imenibidi ntoke nje nipige zingine mkuu wangu ambazo ni common...nmeogopa ban kutoka kwakoView attachment 1138785View attachment 1138786View attachment 1138787View attachment 1138788View attachment 1138790View attachment 1138791
Hongera nenda bar ya karibu hapo kachukue ata lite fungu nitakuja lipia mwenyeweComparison na Stock Camera.
Ni kweli kitu kikali sana mzee babaHii by stock camera...View attachment 1138942View attachment 1138943