Hata mimi items zangu zilikwama South Africa nika open dispute. Lakini baadaye nilikua kuzipokea tena baada ya siku 90
wait for few days utatokea. kwani mzigo ulikuwa shipped na courier gani?Kwahy ni nani mwenye nayo mana haieleweki
C.P R air mailwait for few days utatokea. kwani mzigo ulikuwa shipped na courier gani?
Ulilipwa au alikusubirisha tena?
Kama ulilipwa je ulimrudishia hela zake baada ya kupata mzigo?
wait for few days utatokea. kwani mzigo ulikuwa shipped na courier gani?
Je una sanduku la post hayo Maeneo ya Mbagala?Hawa sijui wanachanganya nini! Mfano cheki mzigo wangu ulitakiwa uje posta ya mbagala cheki ulivyozungukaView attachment 1203340
Yah. Hapa kizuianiJe una sanduku la post hayo Maeneo ya Mbagala?
Mkuu mbona mimi nimelink fresh tu kitambo na nafanya manunuzi bila ya shida.Kiongoz nataka kuilink mpesa mastercard yangu na paypal nakwama au bado mpesa mastercard haina uwezo huo
Kama Una sanduku basi watakuwa wana shida zao zingine ila mizigo isiyo na Sanduku inabaki pale pale GPO.Yah. Hapa kizuiani
mpesa mastercard inakubali bila shida. Ukisha add hiyo card ifungue hiyo card na chagua confirm card >>> get code. Hapo kuna kiujumbe cha mhamala kitakuja kwenye simu yako huwa kinakuwa na code number nne hizo ndio utaziingiza pale kuconfirm card. Hakikisha card ina hela kama $1 maana inakata pesa kidogo ili upate hizo codesKiongoz nataka kuilink mpesa mastercard yangu na paypal nakwama au bado mpesa mastercard haina uwezo huo
Mimi mzigo ulishakuja MBG tarehe 5/9 sema ndio wamezurula nao.Kama Una sanduku basi watakuwa wana shida zao zingine ila mizigo isiyo na Sanduku inabaki pale pale GPO.
Pia si vibaya ukawaibukia huko huko GPO na hiyo Tracking number
Sidhani Maan Watu tracking zimeanzia RB, RP na tumelipishwa kama kawa.Angalia hizo tracking no. Ukiona no. Ya tracking imeanzia na "R" hapo hawatakulipisha hiyo 2350.
Hizo registered mail sijawahi lipia. Na hiyo niliambiwa na mfanyakazi wa posta. Wasije kuwa wametia mfukoni, maana hata kama unalipia sikuizi inabidi ulipie kidigitally sio mkononiSidhani Maan Watu tracking zimeanzia RB, RP na tumelipishwa kama kawa.
Unapewa na EFD receipt kabisa mkuu.Hizo registered mail sijawahi lipia. Na hiyo niliambiwa na mfanyakazi wa posta. Wasije kuwa wametia mfukoni, maana hata kama unalipia sikuizi inabidi ulipie kidigitally sio mkononi
Haina pesa ndio maana mkuu nilikua najaribu jiunga na bangoods ila sijakielewa kipengele hii hichompesa mastercard inakubali bila shida. Ukisha add hiyo card ifungue hiyo card na chagua confirm card >>> get code. Hapo kuna kiujumbe cha mhamala kitakuja kwenye simu yako huwa kinakuwa na code number nne hizo ndio utaziingiza pale kuconfirm card. Hakikisha card ina hela kama $1 maana inakata pesa kidogo ili upate hizo codes
Pia kwa bangood ni njia zipi ambaz ni nzuri zile shipping carier kama AE standard shipingMimi mzigo ulishakuja MBG tarehe 5/9 sema ndio wamezurula nao.
COURRIER GANI ?Package arrived..free shipping hii ndan ya wiki mbili tu mzgo umetuaView attachment 1203793
COURRIER GANI ?