Huhaipenda?Asante nilifanikiwa kununua Redmi note 7 ya 4gb,64gb. Kama kuna mtu anahitaji nimwachie Kwa 520,000 Tu. Imetumika siku mojaView attachment 1149943View attachment 1149944View attachment 1149945
ni nzuri sana ila 6.3 dispaly ni kubwa kwangu ,mkono wangu mdogo. 4.8-5.8 ni display nzuri kwanguHuhaipenda?
Ningekua nakarbia 500k ningechukua ila kwa sasa nipo sijafika kabsa hukoni nzuri sana ila 6.3 dispaly ni kubwa kwangu ,mkono wangu mdogo. 4.8-5.8 ni display nzuri kwangu
okayNin
Ningekua nakarbia 500k ningechukua ila kwa sasa nipo sijafika kabsa huko
Muachie shemeji hiyo (kama yupo)ni nzuri sana ila 6.3 dispaly ni kubwa kwangu ,mkono wangu mdogo. 4.8-5.8 ni display nzuri kwangu
Shemeji yako kwa iphone humwambii kituMuachie shemeji hiyo (kama yupo)
Kwa hiyo umeamua kuchagua ipi sasa au ndio unatuhama sie kina xiaomini nzuri sana ila 6.3 dispaly ni kubwa kwangu ,mkono wangu mdogo. 4.8-5.8 ni display nzuri kwangu
xiaomi ni noma sana. Now naenjoy tuuh dual app and hii feature ya second space ndo komesha ya michepuko. Nimeinstall Gcam ila naona iko slow kurespond when taking a photo. Wadau naombeni stable version ya Mi Redmi Note 7 pro.View attachment 1143394View attachment 1143395
Nimeamua kumkimbia Tim Cook baada ya Sir Jony Ive kuondoka. I hope MIUI wont disappoint me.
Kwa hiyo umeamua kuchagua ipi sasa au ndio unatuhama sie kina xiaomi
Nadhani mkuu Chief Mkwawa atakusaidia na msauziya pia mkuu.Ninaitamani ila sina jinsi aisee ngoja nikomae na hii redmi 7 yangu mpaka mwakaniBado nachagua simu zenye display 4.8 mpaka 5.8,machaguo ni machache sana
Bado nachagua simu zenye display 4.8 mpaka 5.8,machaguo ni machache sana
Inaendaje price ata mm sio mpenzi wa simu kubwawewe ni kama mimi sipendi masimu makubwa ila kwa xiaomi simu ndogo kabisa ni mi 9 se
bei imechangamka 640000 mbaka unaipataInaendaje price ata mm sio mpenzi wa simu kubwa
Nimeitizama hapa watanitesa kwenye radio na dhani na bei pia ila iko vizuri sana aisee ingenifaabei imechangamka 640000 mbaka unaipata
Daka 400000Asante nilifanikiwa kununua Redmi note 7 ya 4gb,64gb. Kama kuna mtu anahitaji nimwachie Kwa 520,000 Tu. Imetumika siku mojaView attachment 1149943View attachment 1149944View attachment 1149945
Ivi mawakala wake wapo apa Tanganyika au mpaka kuagiza nijulishehizo simu kiboko tunazo wachache sana hapa bongo!
Noo mkuu unaagiza tu kwa kina nywele laini .Mcheki mwl crt au huyu mtoto wa dodoma mr mobile Hana shida atakusaidia kuikata kiu yakoIvi mawakala wake wapo apa Tanganyika au mpaka kuagiza nijulishe
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
wewe ni kama mimi sipendi masimu makubwa ila kwa xiaomi simu ndogo kabisa ni mi 9 se
Daka 400000