Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,197
- 4,554
Tupo mkuuLeEco le max 2 mpo?
Hujajibu swali ungetaja ata izo model walizotaja mm ndio kwanza nazisikia leo izo simuZiko poa tu kaka bei inatofautiana kwani ziko aina nyingi
Umesoma post yangu vizuri? Nimetaja mkuu anyway ngoja nirudie tu?Hujajibu swali ungetaja ata izo model walizotaja mm ndio kwanza nazisikia leo izo simu
Swali linamhusu nani hilo mkuu? Kama linanihusu nijuze nikujibuNi international ama Chinese?
Kweli na mimi ninayo. Nzuri sana. Ila yangu ni ya kichina... mambo mengi ni kichina nilinunua Beijing , it was for China consumers. Kuna vitu vinanipiga chenga kwa sababu ya lugha.Hello wanajukwaa natumia hili pendwa natumaini mu wazima.
Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya simu hizi na bidhaa zingine za kampuni ya xiaomi.
BINAFSI natumia xiaomi redmi note 4 simu iko vizuri for affordable price.
KARIBUNI
They call it "chinese Apple" very nice phone with big battery of 4000mah inatosha sana kwa siku nzima with fulk swingHello wanajukwaa natumia hili pendwa natumaini mu wazima.
Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya simu hizi na bidhaa zingine za kampuni ya xiaomi.
BINAFSI natumia xiaomi redmi note 4 simu iko vizuri for affordable price.
KARIBUNI
Bei?!!They call it "chinese Apple" very nice phone with big battery of 4000mah inatosha sana kwa siku nzima with fulk swing