Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Kweli na mimi ninayo. Nzuri sana. Ila yangu ni ya kichina... mambo mengi ni kichina nilinunua Beijing , it was for China consumers. Kuna vitu vinanipiga chenga kwa sababu ya lugha.
 
They call it "chinese Apple" very nice phone with big battery of 4000mah inatosha sana kwa siku nzima with fulk swing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…