kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Tumekuwa tukiishi kwa wasiwasi sana hasa tukitumiwa pesa tunakimbilia kwa mawakala kama hatuna akili nzuri. mimi kidogo nime-advance, natembea na namba za wakala za kutolea pesa.
Ila kuna siku nimesinzia kwenye daladala kushtuka pesa wamezilamba. Sasa nadaiwa laki nne wakinijumlishia riba yao sijui itakuwa kiasi gani wananidai. Mimi binafsi sijasajili kwa alama ya vidole, japo nayo inawabagua wakoma wa vidole wasimiliki simu.
Na declare interest: Im the first one to announce line yangu inaenda kufungwa. Sasa basi, japo nia ya kuwalipa bado ninayo coz wananidai. Pia nitasajili kwa mtandao mwingine after 31/12/2019.
Je, nitawezaje kuwa lipa deni lao pindi mambo yangu yakinyooka.
Au kitendo chao cha kuifunga line yangu itakuwa imevunja mkataba wao na mimi?
Ila kuna siku nimesinzia kwenye daladala kushtuka pesa wamezilamba. Sasa nadaiwa laki nne wakinijumlishia riba yao sijui itakuwa kiasi gani wananidai. Mimi binafsi sijasajili kwa alama ya vidole, japo nayo inawabagua wakoma wa vidole wasimiliki simu.
Na declare interest: Im the first one to announce line yangu inaenda kufungwa. Sasa basi, japo nia ya kuwalipa bado ninayo coz wananidai. Pia nitasajili kwa mtandao mwingine after 31/12/2019.
Je, nitawezaje kuwa lipa deni lao pindi mambo yangu yakinyooka.
Au kitendo chao cha kuifunga line yangu itakuwa imevunja mkataba wao na mimi?