Ignatius31
Member
- Oct 11, 2017
- 57
- 18
Rungwe secondari,sitaisahau maana kwa hali ya hewa,miundombinu na shughuli za ujasiriamali kama,bustan,mabwawa ya samaki,mashamba ya migomba nguruwe na mchakamchaka vilikuwa vinanifanya nijisikie kweli Niko shule