Wale wasio na ajira/kazi hadi leo.

e bana e mimi nikiwa chuo nilisoma sana interview qns na dressing colour
zilinisaidia sana, coz me kila kazi niliyoomba niliitwa interview...nilitwa delloitte, pwc, kpmg, MFI, SOS, Traffic...
lakini leo sehemu nilipo JINA LA BWANA LIBARIKIWE, Maana kama ni overtaking niliyofanya it has changed totally my life, Mungu anatusikia tukimwomba kwa unyenyekevu, usiache kuhangaika mpaka ufanikiwe.....asikudanganye mtu
jiajiri huku ukitafuta ajira, usibweteke

Kwenye Blue unamaanisha ulikua unasoma yale general questions yanayoulizwa kwenye interview? Kama Tell me about yourself? Why should we hire you?

Kwenye Red sijakupata mkuu.
 
1389075589808.jpg
 
Nilipiga interview shule moja inter hapa dar..waliniuliza toka umalize chuo ushaaply sehemu nyingine? Nikawajibu "ndio" sehemu nyingi plus za tutorial vyuoni..wakaonngeza tena umeitwa hata sehemu moja? Nikasema "hapana", wakaendelea unajua tatizo ni nini? Akadakia mwingne kwny panel akasema mdogo wangu tatizo lako ni x perience na wadhamini wako.. Akaendelea kuwa tayari kufanya kazi ili upate x perience una vyeti vizuri lakin x perience tatizo. Niliumia sana ila mwishoni waliniambia kama kawaida ya interview tutakupigia simu.

Hao wadhamini inatakiwa waweje
 
Hafu hadi leo hawajapiga?

Mkuu, hapo kwenye wadhamini, ulielewa wanamaanisha nini? Walivosema tatizo ni wadhamini wako.[/QUO

wamenipigia simu mkuu na nshasign deal, wadhamini ukiweka watu waliokufundisha chuo ina sound sana coz ni recently thn ni watu wanaoaminika kwa umakini wao kuliko kuweka watu ambao si wa carrier yako. mf bro, father au mwalimu wa mkuu sekondary uliyopita inakuwa haisound kama ukiweka lectures waliokufundisha wanaoweza kutoa taarifa zako positively
 
Kujiajiri mtaji ni lazima labda kiwango chake kitategemea na nature ya shughuli yenyewe . Research yoyote iwe ndogo au kubwa itahitaji mtaji pia kwasababu utahitaj materials za ku excute hiyo kaz mfano utahitaj kutype,print,bundle za kugoogle different materials n.k nafikiri ni muhimu kujishughulisha kupata experience hata kwa kujitolea coz hata kama ukijiar itakusaidia kufanya kaz zako kwa ufanisi mkubwa huku ukijiamin
 
Yaani CV na Cover letter mnazoandika baadhi ya waombaji kazi zinakatisha tamaa, kwenye interview ndio majanga hasa kwa fresh from Colleges/University. Tulitangaza nafasi ya Finance and Administration Manager, kweli mtu kwenye cover letter anajitambulisha "I am a boy who completed university" just imagine a boy and the position of FAM.
pia tuliitisha interview ya office secretary ni vituko tuu, yaani unamuuliza secretary mtarajiwa "typing speed" yake ni ngapi? kweli nakwambia tulijibiwa ni 7 (saba), sikukata tamaa tukamuliza saba nini? akajibu 7m/s (7meter per second). jamani kama hujui swali bora usijibu maana unaweza ukaharibu mazingira kabisa.
Ushauri kwa vijana wenzangu:
Andika CV yako kwa kadri uwezavyo halafu tafuta watu ambao wana proffession za HR au Administrators umpe aisome na atoe comment kabla hujaituma popote na cover letter hivyo hivyo, tena pelekea mtu zaidi ya mmoja.
pia jitahidini kubashiri maswali ya taaluma yako kabla ya Interview kwa kuulizana na wenzako au watu wenye taaluma uliyonayo lakini wameishapata kazi na kama utakutana na swali ambalo ni jipya kabisa kwako wakati wa usaili basi kuwa muwazi kwani wewe ni binadamu huwezi jua kila kitu.
pia zingatia mwonekano wako wakati wa usaili.

Nikutie Moyo Mtanzania mwenzangu.
baada ya kumaliza Chuo mwaka 2009 niliandika barua nyingi saaana na nilihudhuria interview zaidi ya saba katika kipindi cha miezi minane, lakini my first appointment ilikuwa ni Finance and Administration Manager, nilifanikiwa April 2010. na mpaka sasa I am still the FAM of the organization. so keep fighting, there is an open door somewhere for you and it is waiting you. kuna sehemu hakuna cha kamlete jamani (hasa hapa nilipo mimi), unapita kwa jitihada zako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom