Wale wasio na ajira/kazi hadi leo.

Mkuu hapo namba 8 tueleze unavoweza tumia akili bila pesa km mtaji! Honestly, HAIWEZEKANI.

Inawezekana. Inategemea na knowledge uliyonayo. Mfano kama upo vizuri unaweza ukajiajiri ukafanya kazi za consultancy, research, kuandika proposal, business plans n.k. Utaniambia utahitaji pesa kidogo, yes, lakini watu huwa wanatoa advance!!
 
Mkuu hapo namba 8 tueleze unavoweza tumia akili bila pesa km mtaji! Honestly, HAIWEZEKANI.

9. Kukosa akili ya KUJARIBU na KUTHUBUTU kwa sababu tu ya mawazo kama ya huyu ndugu hapa juu..

(ni-pm nikupe akili ndugu)
 
halafu kuna watu hawako serious kuna siku tulikuwa tumetoa nafasi za kazi zikaja CV unakaa
unajiuliza IS THIS PERSON SERIOUS!!!!!!!!!!!nyie mnaoomba lazi muwe basi serious katika uandikaji
wa CV zenu na hizo cover letter

Interview ilivofika ilikuwa vituko tunajua kiingereza kilikuja kwa meli lakin tujitahidi jamani maana
it is a disaster when it comes to ORAL INTERVIEW maana kuna mtu tulimuuliza why should we hire
you? YESU NA MARIA alivyojibu naomba niishie hapa.unaweza kuwa unalalamika kila siku hupati kazi
kumbe wewe mwenyewe ndio tatizo

nawatakia kila la kheri Ndugu zangu

Wewewew! ishia hapo hapo, Ni hujuma tu wanazofanyiwa hawa vijana wa dotcom
lakini they are way far kulinganisha na vijana wa ten years ago ambao hata hiiyo cover letter na CV
walikua wanaandika kwa kiswahili na vitu kama office automation kwao ilikua msamiati mkubwa.

Mimi niko so agaist na hizi dhana za experince, Age, Gender, and so..
Nachoamini "as long as he/she is human being he/she can do anything if he/she knew what it was".

Unakuja kuomba kazi kwangu na kigezo cha 10yrs experince; swali Y dd they let go a 10yr experinced pasonel?! if the experience was the matter.
 
Inawezekana. Inategemea na knowledge uliyonayo. Mfano kama upo vizuri unaweza ukajiajiri ukafanya kazi za consultancy, research, kuandika proposal, business plans n.k. Utaniambia utahitaji pesa kidogo, yes, lakini watu huwa wanatoa advance!!

Mkuu Naomba nitofautiane na wewe kidogo.

Ili uweze kuanzisha Consultancy/Research Firm amayo itaweza kutoa au kufanya real market researches unahitaji
resources kama; Human, Research aids, Statistical aids, physical/permanent office, ambavyo vyote hivi vinahitaji
Capital ili uweze kua navyo, kinyume cha hapo ni ujanjaujanja na huyo mteja wako aki spear time anaweza akafanya
hiyo research/study/B.plan by himself.
 
Mkuu Naomba nitofautiane na wewe kidogo.

Ili uweze kuanzisha Consultancy/Research Firm amayo itaweza kutoa au kufanya real market researches unahitaji
resources kama; Human, Research aids, Statistical aids, physical/permanent office, ambavyo vyote hivi vinahitaji
Capital ili uweze kua navyo, kinyume cha hapo ni ujanjaujanja na huyo mteja wako aki spear time anaweza akafanya
hiyo research/study/B.plan by himself.

Siyo kila mtu anaanzaga na permanent office, na wala siyo lazima uanze kwa kufanya projects kubwa zinazohitaji utafiti wa data sana, na kusema kwamba mtu akispear time anaweza kufanya mwenyewe umeassume constraint ya kila mtu ni muda!!,,kuna watu hayo mambo hawajui kabisa swala sio muda tu.
 
Tatizo watu wanapokuwa vyuo hukomaa sana na vyeti. Bila hata kutafuta ujuzi wa vitu vidogo vidogo kamaenterpreneurship skills, work responsibilities, c.v writing, interview skills, mwisho wa siku wanachemka! Tubadilike jamani!!
 
Nilipiga interview shule moja inter hapa dar..waliniuliza toka umalize chuo ushaaply sehemu nyingine? Nikawajibu "ndio" sehemu nyingi plus za tutorial vyuoni..wakaonngeza tena umeitwa hata sehemu moja? Nikasema "hapana", wakaendelea unajua tatizo ni nini? Akadakia mwingne kwny panel akasema mdogo wangu tatizo lako ni x perience na wadhamini wako.. Akaendelea kuwa tayari kufanya kazi ili upate x perience una vyeti vizuri lakin x perience tatizo. Niliumia sana ila mwishoni waliniambia kama kawaida ya interview tutakupigia simu.
 
Nilipiga interview shule moja inter hapa dar..waliniuliza toka umalize chuo ushaaply sehemu nyingine? Nikawajibu "ndio" sehemu nyingi plus za tutorial vyuoni..wakaonngeza tena umeitwa hata sehemu moja? Nikasema "hapana", wakaendelea unajua tatizo ni nini? Akadakia mwingne kwny panel akasema mdogo wangu tatizo lako ni x perience na wadhamini wako.. Akaendelea kuwa tayari kufanya kazi ili upate x perience una vyeti vizuri lakin x perience tatizo. Niliumia sana ila mwishoni waliniambia kama kawaida ya interview tutakupigia simu.

Pole,ninaimani utashinda.hilo suala la experience kwa kweli linaumiza.ikizingatia mtu ndio umehitimu masomo.they have to think logically,where do freshers can get experience before they would admitted in the new job?
Basi waweke kitengo cha kutoa experience kwanza kabla ya kuajiri.
 
sori si ugovi lengo ni kuwekana sawa,ila amini hakuna nchi ilioendelea kwa kuwa na wasomi wengi,find challenges in ur society andcome up with solution u will earn something

Sijakuelewa, kama ni changamoto zipo nyingi katika jamii inayonizunguka ikiwemo ukosefu wa ajira kwa vijana, tatizo la umeme, maji, rushwa, barabara mbovu, madawa ya kulevya n.k
Wewe msomi unayatatuaje!!!!
 
halafu kuna watu hawako serious kuna siku tulikuwa tumetoa nafasi za kazi zikaja CV unakaa
unajiuliza IS THIS PERSON SERIOUS!!!!!!!!!!!nyie mnaoomba lazi muwe basi serious katika uandikaji
wa CV zenu na hizo cover letter

Interview ilivofika ilikuwa vituko tunajua kiingereza kilikuja kwa meli lakin tujitahidi jamani maana
it is a disaster when it comes to ORAL INTERVIEW maana kuna mtu tulimuuliza why should we hire
you? YESU NA MARIA alivyojibu naomba niishie hapa.unaweza kuwa unalalamika kila siku hupati kazi
kumbe wewe mwenyewe ndio tatizo

nawatakia kila la kheri Ndugu zangu


e bana e mimi nikiwa chuo nilisoma sana interview qns na dressing colour
zilinisaidia sana, coz me kila kazi niliyoomba niliitwa interview...nilitwa delloitte, pwc, kpmg, MFI, SOS, Traffic...
lakini leo sehemu nilipo JINA LA BWANA LIBARIKIWE, Maana kama ni overtaking niliyofanya it has changed totally my life, Mungu anatusikia tukimwomba kwa unyenyekevu, usiache kuhangaika mpaka ufanikiwe.....asikudanganye mtu
jiajiri huku ukitafuta ajira, usibweteke
 
wahusika wa kichwa cha habari hapo juu.

Salam kwenu.

Naomba tujadiri ni kipi kimetukwamisha kupata ajira hadi leo? Tunaanza mwaka mpya sasa, ebu tujifunze kupitia makosa tuliofanya mwaka 2013. Mimi kwa upande wangu, baadhi ya mambo ninayodhania/amini yaliyosababisha nikashindwa kuitwa interview/kukosa ajira etc ni haya:

1. Kushindwa kuandaa cv na cover letter ya kumshawishi "boss" pindi anaposoma.

2. Nafasi zilizotangazwa za career yangu ni chache sana, hivyo competition ikawa kubwa.

3. Kukosa baadhi ya "email address hai" za makampuni pindi tunapoamua kutuma maombi ata kama nafasi hazijatangazwa. Nyingi tunazozipata za mitandaoni zilishaachwa kutumika.

4. Kukosa fedha za kutuma barua nyingi kwa posta au kupeleka "by hand" hivyo kuamua kutumia njia cheap ya email ambayo kusema kweli sio bora sana maana ni email chache zinamfikia mlengwa.

5. Kukosa work experience kabisa, hivyo makampuni (nadhani) yanatuona kama tutakua mizigo.

6. Kutokua na connection kabisa.

7. .......

Unaweza kuen
nimejitahidi kufupisha

nb: Hayo mambo nayafanyia kazi na nayarekebisha yoote yale yaliochini ya uwezo wangu, ili mwaka 2014 uwe wa mafanikio.

upo sawa
 
Nilipiga interview shule moja inter hapa dar..waliniuliza toka umalize chuo ushaaply sehemu nyingine? Nikawajibu "ndio" sehemu nyingi plus za tutorial vyuoni..wakaonngeza tena umeitwa hata sehemu moja? Nikasema "hapana", wakaendelea unajua tatizo ni nini? Akadakia mwingne kwny panel akasema mdogo wangu tatizo lako ni x perience na wadhamini wako.. Akaendelea kuwa tayari kufanya kazi ili upate x perience una vyeti vizuri lakin x perience tatizo. Niliumia sana ila mwishoni waliniambia kama kawaida ya interview tutakupigia simu.

Hafu hadi leo hawajapiga?

Mkuu, hapo kwenye wadhamini, ulielewa wanamaanisha nini? Walivosema tatizo ni wadhamini wako.
 
Back
Top Bottom