X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,679
- 12,249
awana ofisi kabisa....wamekuibia...?Hey guys,naomba kuuliza Kuna office za Tala hapa Tanzania and majengo kabisa ya TALA yapo wapi hapa Tanzania msaada pls kwa anaejua
awana ofisi kabisa....wamekuibia...?Hey guys,naomba kuuliza Kuna office za Tala hapa Tanzania and majengo kabisa ya TALA yapo wapi hapa Tanzania msaada pls kwa anaejua
Si rahisi hvyo TALA wanapanda taratbu sana..naninatakiwa urudishe leo ukope kesho ndo utapata ongezeko zuriMkuu nataka nifanye risk,nina hela hiyo ya kurejesha,sasa mimi nataka nirejeshe then waniongeze either 30k au 40k,nifanye kurejesha sio??
Ee,ase af Kuna wakala wa hapa hapa tz nilimpigia simu Ila saiv hapatikan Tena inakuwaje apoo Ni 120000 kbs nimelosea kulipaawana ofisi kabisa....wamekuibia...?
Mkuu nataka nilipe deni la 20k ili wanipe 40k je inawezekana instantly,maana nina shida na hiyo hela..nipe experience mkuu
Ha haa. Mkuu. Tupo wote. Wakikupa, nitag.Me tala, branch nimewakopa naomba mnipe app nyingine niwakope
Usisajili ...alaf hela watakuingizia wapi?Hivi ukikopa ukutupa na laini ..
Ukachoma na simu ...
Watakupataje. ...
Nataka nwakope mkuu kwa lain 10 tofaut
Sio Tara ni TalaTara is the best! Wapo vizuri wanatusaidia sana watanzania hasa wakati huu mgumu wa vyuma kukaza....
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaaza na kiasi gani kukopa mkuulipa kidogo kidogo haujapoteza kigezo ila utapunguziwa kiwango cha kukopa kutoka cha juu hadi cha chini...jitahidi ulipe