Wale wanaojua lugha ya kipimbwe

Wale wanaojua lugha ya kipimbwe

KITWANGAUTAM

Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
80
Reaction score
18
Wanajamvi habari zenu! Kwa wale eanaojua kipimbwe, lugha inayozungumzwa wilaya ya Mpanda sehem iitwayo Mpimbwe atokako Mizengo Pinda. Ninataka kukusanya msamiati wa vyakula vya aina zote vinavyoliwa na wapimbwe. Lengo baadae nitengeneze kamusi ya kipimbwe_kiswhili, lakini kwa msamiati wa vyakula tu. Ninaomba uandikwe msamiati wa chakula husika kisha tafsiri ya Kiswahili. Mfano inswi_samaki. Lengo nipate walau msamiati 700. Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom