Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,306
gravitational,na projectile aaaaah
hicho kitabu ukifanya maswali yake kila topic utajikuta hujui kitu...!!!Hakuna sub iliyokuwa inanisumbua
maswali ya UP tu ndo yalinitesa
Hakuna sub iliyokuwa inanisumbua
maswali ya UP tu ndo yalinitesa[/QUOTE Hapo tupo pamoja mkuu kwenye UP ndio ilikuwa noma
Ujui mambo ww phy mechanics hyo....Kinetics theory of gases mbona ni chemia mkuu
Tuwe na staha kwenye kukosoana jaman wengne wamesoma hvyo vitu nyie mkiwa bado mnakaririshwa table primary skul haya mambo yana vapour usijilinganishe nae ww wa 2010+Ujui mambo ww phy mechanics hyo....
Properties of matter branch zake
Elasticity
Surface tension(pasua kichwa)
Kinetics theory of a gas
Ulipataje phyz sasa apoMm nmemaliza 2016 lkn hakukuwa na topic ngumu saaaaana Sena tu surface tension niliikaushia kuisoma
physics advance ndiyo nini?Wakuu wale waliosoma physics advance taja subtopics 2 za MECHANICS ambazo zilikuwa zinakusumbua sana .
Hivi ni kweli staili ya kuuliza maswali kwenye paper imebadilika , yaani siku hizi ngweni nyingi kuliko calculation kama zamani ?Uniform Circular motion
Rotation of rigid bodies
Muda wa kuielewa mechanics yote kwangu ulikuwa mdogo kuliko uhalisia. Unaona umeelewa ukiletewa swali jipya chali....
ndio hao eti wanakwenda chuo kikuuu, ndio graduate wetu watakao toka kesho!Umeelewa sema unajifanya mjuaji unabahat nimefunga kama unakosoa uandishi kosoa sio unajifanya mjuaji mdhuti ghako