Wengine tulikuwa freedom square.Miaka hiyo kulikua na kitu inaitwa September conference. Mwezi wa tisa kwenda kusapua pale mlimani.
Haijalishi uko wapi na uko vipi kiuchumi inabidi upambane ukasapue.
Cafeteria 2,3,4Ukitoka hapo unaenda kula "RB".
RB cheka na RB kombo cafteria COETUkitoka hapo unaenda kula "RB".
😁 sikuhizi mwezi wa tisa ni wa kula Bata , sup ni when it's next offeredWengine tulikuwa freedom square.
Ni vyuo vyote?SUA ndo wameanza iyo.😁 sikuhizi mwezi wa tisa ni wa kula Bata , sup ni when it's next offered
No kweli ni hicho tu ,Ni vyuo vyote?SUA ndo wameanza iyo.
hapana huko sahihi ni iko tuuNi vyuo vyote?SUA ndo wameanza iyo.
Tanzania ata akija malaika kuongoza still atutoboi tena hii generation ya leo sijui !Wanachuo wakisup siku hiz wanalalamika mitandaon media zinapiga kelele,wanasiasa wanaunda kamati kuchunguza kwann wanasup,Kwa kuona hivyo hakuna sup sikuhiz,pili wogawa serikali kupoteza Hela Kupitia heslb vyuo wanalazimisha kufaulisha tu,wakija kupata AJIRA utafikir katokea form two na tatu,malecturer wamelemewa na utitiri wa wanafunzi vyuoni,form six wanafaulu wote wanafunzi wamejazana kama wote,Yann usahihishe paper mbili Kwa kujitesa,Bora uwafaulishe wote upumzike.
sahivi haipo septemberSio udsm tu. Karibia vyuo vyote September huwa ni kipindi cha sup