Wale wa TRA mkeka upo hewani

Wale wa TRA mkeka upo hewani

In the first place ukiwa bado hujawa interview kigezo kikubwa cha kuchuja upate shortlisted ni GPA miongoni mwa waombaji.

Mwenye GPA kubwa anapaswa kupewa kipaombele when other things remain constant.

Huwezi kumuacha kwenye shortlisted mwenye first class ukamuweka Mwenyezi second class kwa sababu gani ya msingi Kwa mfano?

Haingii akilini hata kidogo.
GPA kubwa anaweza akawa kuna taarifa alishindwa kuziattach kwenye portal hivyo akawa disqualified.
Serikalini mambo ya GPA hayapo.labla uwe mkufunzi au researcher ndio wana hayo mambo.
 
GPA kubwa anaweza akawa kuna taarifa alishindwa kuziattach kwenye portal hivyo akawa disqualified.
Serikalini mambo ya GPA hayapo.labla uwe mkufunzi au researcher ndio wana hayo mambo.



Kipimo cha performance ya elimu ya juu ni GPA,

Kwanini wao wasizingatie?

Basi watakuwa wanafanya makosa makubwa sana.

Yaani kwenye shortlisted uweke watu wa lower second uache wenye first class ?

Haingii akilini.
 
Dosari zimeanza kuonekana mapema sana hivi ?
Mm mwenyewe nimeachwa mkuu, wakati nilikuwa naomba kule utumishi wakitoa ajira na vyeti na taarifa zile zile zinazo tambuliwa na hii serikali lakin sikupata nafasi, sasa utumishi ni serikali ipi na huku TRA ni serikali ipi mpaka sasa, maana hawa watu wana fanya mzaha sana naona.
 
Je tukijenga hoja kuwa wameacha high performance wenye GPA kubwa ili kupunguza ushindani wapate kuchomekea watoto wao vilaza watasemaje?

You are bitter and sour, mafanikio hayaji ukiwa na mentality hiyo. Huyo wa Lower maana yake amejiuza vizuri kwenye CV na Cover letter, huko kazini hawaendi kufundisha bali kuperform sasa GPA ni jambo moja na performance ya kazi kwa kutumia pattern zile zile kila siku zinahitaji mtu mchakalikaji,mbunifu na anayejua kujieleza.

Unaonekana hata ofisini akija mteja utakuwa unamtishia na GPA. Tumia huu muda kuandaa CV nzuri hawa TRA hawatachukua muda watatangaza kazi nyingine sasa kama wewe utakuwa umekaa kuringia GPA badala ya kuangalia ulipo jikwaa na zenyewe zitakupita ingawa nakuombea ufanikiwe.

Jumapili njema.
 
Ndiyo umuache mwenye GPA kubwa?

Au inabidi uwaweke wote wakashindwe wenyewe mbele?

Sasa kama hivyo ndivyo Ndiyo kisha uweke wa lower second uache wa first class ?
BOSS UNAWEZA KUWA NA GPA KUBWA ILA HUWEZI KUANDAA CV YAKO, AU BARUA UMEANDIKA UNAVYOJUA WEWE, AU UME APPLY KITU KILICHOKUWA NA SIFA YA ZIADA MFANO BOARD NA WEWE HUNA, AU USIKUTE HATA ADDRESS ULIANDIKA YA UTUMISHI AU HUKUANDIKA KABISA, KWA KUANZIA LETE ATTACHMENT YA CV YAKO NA BARUA,

PIA GPA KUBWA SIO AKILI BABU, WANGAPI TUNAWAONA NA GPA KUBWA NA KICHWANI 0??? UNGEKUWA NA AKILI UNGEANGALIA WAPI ULIPOKOSEA KWANZA THN UNGEKUJA NA MAJIBU...YANI HAUWEZI UKAACHWA WITH NO REASON KUNA SABABU NA HUTAKI KUSEMA.... UMEAMBIWA KAMA HUJARIDHIKA NENDA OFFICE ILIYO KARIBU YA TRA WW UNAKUJA FORUM. ALAFU UNAJIITA UNA GPA KUBWA ...SHEIKH KUNA VYUO VYA UCHOCHORONI WATU WANA GPA HADI YA 5 .WEWE UNASEMA 4 KUBWA?
 
Hizo hadithi za kusema kuwa na GPA kubwa sio kitu huwa ni maneno ya wakosaji.

Sasa bila kuwa na kipimo cha performance itakuwa na maana gani Kwa mfano?!

Mbona mnatetea udhaifu?!
 
Labda ana experience au CV/cover letter aja andaa vzr.



Hata hivyo inabidi wawe wanatafakali kwa kina na kuona iwapo hiyo CV ina umuhimu kiasi gani au la,

Mtu unaenda kumfanyia usaili hapo mwanzoni hiyo cv inakuwa na umuhimu kiasi gani Kwa mfano?

Muhimu ni matokeo ya chuo na jinsi atakavyojibu maswali ya usaili ,

Ndivyo vipimo vikubwa muhimu vya kuona atafanya kazi vizuri au la.

Eti kukosea kujaza cv ?!

Yaani unamkosesha mtu nafasi ya kwenda kutetea maisha yake sababu ya kukosea kujaza CV?

Hawa jamaa bana duuh.
 
Hata hivyo inabidi wawe wanatafakali kwa kina na kuona iwapo hiyo CV ina umuhimu kiasi gani au la,

Mtu unaenda kumfanyia usaili hapo mwanzoni hiyo cv inakuwa na umuhimu kiasi gani Kwa mfano?

Muhimu ni matokeo ya chuo na jinsi atakavyojibu maswali ya usaili ,

Ndivyo vipimo vikubwa muhimu vya kuona atafanya kazi vizuri au la.

Eti kukosea kujaza cv ?!

Yaani unamkosesha mtu nafasi ya kwenda kutetea maisha yake sababu ya kukosea kujaza CV?

Hawa jamaa bana duuh.

Unaonekana hauna exposure na kazi, nenda kwa Foreign investor yoyote na cheti chako usikie neno atakalokupa watu wanataka kusikia achievements zako zipoje katika ufanyaji kazi.

Usikute una CV ina page 3 kama kitabu .

Najua unaongea sababu ya disappointment lakini amini siku yako na wewe ipo tuu na itafika milango yako itafunguka.
 
In the first place ukiwa bado hujawa interview kigezo kikubwa cha kuchuja upate shortlisted ni GPA miongoni mwa waombaji.

Mwenye GPA kubwa anapaswa kupewa kipaombele when other things remain constant.

Huwezi kumuacha kwenye shortlisted mwenye first class ukamuweka Mwenyezi second class kwa sababu gani ya msingi Kwa mfano?

Haingii akilini hata kidogo.
Wewe ni popoma
 
Hata hivyo inabidi wawe wanatafakali kwa kina na kuona iwapo hiyo CV ina umuhimu kiasi gani au la,

Mtu unaenda kumfanyia usaili hapo mwanzoni hiyo cv inakuwa na umuhimu kiasi gani Kwa mfano?

Muhimu ni matokeo ya chuo na jinsi atakavyojibu maswali ya usaili ,

Ndivyo vipimo vikubwa muhimu vya kuona atafanya kazi vizuri au la.

Eti kukosea kujaza cv ?!

Yaani unamkosesha mtu nafasi ya kwenda kutetea maisha yake sababu ya kukosea kujaza CV?

Hawa jamaa bana duuh.
Jifunze kufanya mambo Kwa umakini kuepuka dosari ndogondogo, inaonekana ulifanya vitu kizembe ukategemea GPA ikubebe kumbe siyo.

Kuna chuo Cha SUA na chuo Cha st.john na vyote vinatoa tuseme bachelor of science in whatever field. Sote tunatambua jinsi vijana wa SUA tena vichwa hatari wakisotea kupata hata lower second class maana kupata upper second class au first class Kwa SUA wanasema ni kujidanganya.

Sasa mwanafunzi huyu wa SUA uwezo wake ni mkubwa sana lakini ana GPA ndogo na huyu wa St.John tunajua ni kihiyo lakini ana GPA kubwa, unadhani kigezo Cha GPA kinatakiwa kutumika?

Achana na issue za GPA kwenye ajira ukija kuujua ukweli utalia machozi yasiyokauka, Cha kufanya Songa mbele.
 
Hizo hadithi za kusema kuwa na GPA kubwa sio kitu huwa ni maneno ya wakosaji.

Sasa bila kuwa na kipimo cha performance itakuwa na maana gani Kwa mfano?!

Mbona mnatetea udhaifu?!
Mkuu unguwa na Akili ungeandika barua vizuri ukaitwa... Akili zako ndogo na GPA ya kupigia chabo...Haiwezekani wenye GPA Kama yako wameitwa wewe usiitwe...Hujui kuandika barua na maelekezo hufati... Unaona sehemu wamekuambia Attach cheti...unastach Cv .... Sasa utakula GPA yako.. kama una GPA kwann usiajiliwe ukawa tutorial assitant? Au lecture? Ukiona hivyo ya chabo hiyo,
 
Back
Top Bottom