kijanamimi
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 245
- 176
kama vipi akaandamane kwenye ofisi za tiharayei 😂 maana naona amekazana kulalamika humu ndani na GPA yake ya 4.Kuna wenzio wana pass wameitwa.endelea kuwa na mentality hiyo ya kuwaza mambo ya GPA kwenye ajira.na ndio ushakatwa sasa

