Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Siku zinapita na miaka inaenda,iwapo kuna member toka Shinyanga Commercial Institute humu ndani 2kumbukane jamani. safari za 'USHI',mambo ya 'mlingoti'.... Nasikia imekuwa ni chuo cha ualimu sasa,2habarishane!!!!!!