Jamani binafs napata utata ni wapi tunaenda kufanyia usaili ktk hii taasisi?maana tangazo lao sekretariat wamesema ktk ofis zao,so ni huko lushoto au wana ofis Dar? Tujuzane please!
Interview inafanyika Lushoto Tanga pale chuoni kuanzia tarehe 16/9/15
Mkuu huko lushoto nimenyoosha mikono watakao jaliwa waende tu mi pia wameniita assistant internal auditor nafasi yenyewe moja watu nyomi plus nauli na malazi nikweli ajira ngumu jamani dah