please..wewe mwanafunzi uliyechaguliwa LLB..Naomba uniambie kirefu cha hiyo course yako ya law unayokuja kuisoma!!! na kama ukishindwa ntakuwa na mashaka na matokeo yako ya form 6 pamoja na ujio wako hapa mzumbe coz ninavyoelewa mimi mtu ukienda kusomea kitu fulani lazima ujue maana yake!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.