Wale wa mzumbe aka chuo makini mbona kimyaaaaaaaaa?????????

please..wewe mwanafunzi uliyechaguliwa LLB..Naomba uniambie kirefu cha hiyo course yako ya law unayokuja kuisoma!!! na kama ukishindwa ntakuwa na mashaka na matokeo yako ya form 6 pamoja na ujio wako hapa mzumbe coz ninavyoelewa mimi mtu ukienda kusomea kitu fulani lazima ujue maana yake!!
 
Back
Top Bottom