Masela nimechaguliwa baf mzumbe kama kuna wenzangu basi tujuane coz nahisi hakuna kichwa kingine ndani ya jamii f.kama tupo tujuane basi!!
Masela nimechaguliwa baf mzumbe kama kuna wenzangu basi tujuane coz nahisi hakuna kichwa kingine ndani ya jamii f.kama tupo tujuane basi!!
Masela nimechaguliwa baf mzumbe kama kuna wenzangu basi tujuane coz nahisi hakuna kichwa kingine ndani ya jamii f.kama tupo tujuane basi!!
njoo ila kuwa makini na wanyama hawa....MBEGALO TUKAE, CHRISTINER SHITIMA, KIKULI, THE BOY OMBELA HIMSELF lazima ukae...!!jipangeeeeeeeeeeeee!:israel:
thanx kwakuni encrg luv uuuuu!me pia mzumbe i heard msul wa pale c wa kitoto n i lyk dat thing cz hatuend chuo kucheza ni kusoma ataecheza ni uamuz wake hata mimi nikicheza bac ntakuwa nishatafuta chuo kingine cha kukimbilia cz nimejitakia
umeonaeeee huyo jamaa hafaiii!Acha kumtia ujinga mwenzio...aje kuisoma halafu atajionea!
ntakusaka brooo au co?MKIFIKA CHUO NITAFUTENI KAKA YENU NIWAPE SEHEMU YA KULALA!!:flypig: