Huwezi linganisha moshi techKiungani bado ni the best katika technical school, Viva Tanga Technical
Hivi unajua shule ya kwanza ya serikali tz ni ipi? Pale pamesoma na kupita watu wazito mpaka raisi wetu mstaafuHuwezi linganisha moshi tech
Na tanga kijana
KuanZia kufaulu mpaka menu ya chakula
Umesoma technical na wewe mkuu?kwa hiyo ulikuwa Zenji block gani?malisa ni shida kauzuu utadhani waziri hivi bado yupo?
Mpande yupo hai pale moshi mjini...alipata ajali kipind flan but yu hai. ..amefariki Mwalimu Athuman aliyekuwa akifundisha MV.Nakumbuka sana Pale Moshi tech.
Mwalimu
1:-Mwasha
2:-Saweru
3:-Mhina(Kiguru)
4:-Mpande(naskia kafariki)RIP
5:-Kessy
Alafu kulikuwa na wale jamaa wanasoma jioni,walikuwa poa sana,Nakumbuka wale wa 1998-Kina Victor Kessy,Jose Mbwambo,Magreth Riwa,Aloyce Tarimo,na washkaji wengine wengi,Nakumbuka watoto wa walimu,Dah
Uko wapi kwa sasa Mkuu na Unafanya Mishe GaniMimi nimemaliza form six 2014 hapo nawakumbuka sana mwl nkya,ngorika,koba na pia mdada wa kanteen dada asha na pia headmaster wanamwita mtemi washikaji kibao nimewamic kina saiteru,evance,agapito joseph,boaz steven and mgema kulwa,nahc kulia ayse