Wale wa BITCOIN wameshatapeliwa

Kwa wajuzi wa hizi Cryptocurrency, habari zenu

Leo thamani ya Bitcoin ni 1 Bitcoin equals 8,146.97 United States Dollar

Nini kimefanya thamani Bitcoin kuanza kupanda tena?
Je hii inaweza kuwa thamani ya msimu tuu au ndiyo imeanza kufufuka tena?
Je zile changamoto za kisheria ambazo hata aliyekuwa Mkurugenzi mtendaji wa IMF Christine Lagarde aliwahi kuzitaja zimeshashughulikiwa?

Nawakilisha.


Ahsante
 
Una uhakika Kaka? Watu wanapiga pesa na hakuna mtu yuko na password wala hakunaga kitu kama hicho
 
Asante sana... Nimejikuta najiona mpumbavu, sikuwa makini kwenye kuchangia.... Isingewezekana kitu kikubwa kama hicho taarifa zake za siri awe nazo mtu mmoja tuu...
Kuna lose ends nyingi zinazohitaji clarification


Jr
Karibu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…