hata hapo kwenye building economics itakua ngumu...nlikua nacheki prospectus yao kuna mpaka kozi za mechanics na hesabu(sio BAM naongelea pure au engineering maths)...hapo vipi HGE atatoboa? labda kama anajiamini,kwa BAF haina tabu!
Mi nadhan hajadharau ila walijidharau wenyew mwanzo kwa kuchukua takataka ndo mana mpaka leo watu wanajua chuo cha kubeba takataka
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une