Wakuu, nmechaguliwa kozi ya Bachelor Degree in Community Development for water supply and sanitation katika chuo tajwa hapo juu.
Hivyo naomba kama kuna mtu amewahi kuisoma kozi hiyo anisaidie hata msaada wa mawazo ni jinsi gani ntaweza kuisoma vizuri bila shida, na pia mzangira ya chuo kiujumla yako vipi.
Pia suala la malazi, je hostel zinapatikana chuoni au ni kupanga chumba mtaani karibu na chuo?
Wakuu, karibuni kwa mawazo chanya kuhusu kozi hiyo
Hivyo naomba kama kuna mtu amewahi kuisoma kozi hiyo anisaidie hata msaada wa mawazo ni jinsi gani ntaweza kuisoma vizuri bila shida, na pia mzangira ya chuo kiujumla yako vipi.
Pia suala la malazi, je hostel zinapatikana chuoni au ni kupanga chumba mtaani karibu na chuo?
Wakuu, karibuni kwa mawazo chanya kuhusu kozi hiyo