Wale vijana wawili

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Vijana wale wawili walikuwa wasomi, na walionekana kuwa asset kubwa katika chama kama ilivyokuwa kwa Tony Blair na Gordon Brown katika uongozi wa chama cha Labour. Vijana wale walipitia safari ndefu katika chama, hatimae waliwekwa makao makuu ya Chama Dodoma, mmoja akiwa msaidizi wa Pius Msekwa akiwa Speaker na mwingine akiwa msaidizi wa John Malecela akiwa waziri mkuu.

Wabunge wa wakati ule walipata shida sana ya usafiri wa kuwafikisha bungeni, magari yalisafiri usiku na wengi walilala njiani, wengine iliwachukua siku tatu/nne kufika bungeni. Ilipitishwa wabunge wote watakopeshwa mashangingi ili yawasaidie usafiri.

Waziri Mkuu alifanya biashara nzuri sana na kampuni ya Toyota, hakika wenye kampuni hawakutegemea kuwa kainchi masikini kale kanaweza kununua mashangingi zaidi ya 200 kwa mpigo tena kwa pesa taslimu. Makubaliano yalikuwa waziri mkuu apate 10% ya transaction ile.

Kama mnavyojua kuwa pesa za namna hii haziingizwi bank, basi wawakilishi wa kampuni ya Toyota walikuja na pesa kwenye briefcase wakimtamfuta waziri mkuu, bahati mbaya au nzuri waziri mkuu alikuwa safarini, lakini walipouliza, msaidizi wa waziri mkuu aliwakaribisha ofisini kwake, kijana mtanashati na mwenye sura ya kuvutia. Aliwaambia kama wana maagizo yeyote kwa waziri mkuu wamuachie yeye kwani yeye ni msaidizi wake. Ndipo briefcase lilipoachwa ofisini, msaidizi alifungua briefcase baada ya wageni kuondoka, alichokiona hakutegemea, alilichukua briefcase lile mpaka nyumbani kwake na kukaa kimya.

Waziri mkuu aliporudi aliuliza kama kuna wageni waliomfuata na kumkosa, alipewa habari yote lakini alipomuuliza msaidizi alikana, biashara yote ni ya mazabae, waziri mkuu hakuweza kulipeleka swala hili kokote.

Huu ndiyo mwanzo wa utajiri wa msaidizi na uhasama aliojijengea na watu wa chama.
 
Aha ha ha ha bila shaka hapa unamzungumia kijana ambae baadae naye akawa Waziri Mkuu ila akaja kujiuzuru kwa kashfa ya Ufisadi.

Na ilipofika 2015 akatoka ktk chama kilichomlea tangu akiwa kijana na akagombea Urais mwaka 2015 kwa mara yake ya kwanza.

Katika mbio zake za Urais alipata ushindani wa majungu saana kutoka ktk chama chake cha ujanani, wengine wakasema ni mgonjwa na hafai kwenda Ikulu. Watanzania wakasema ni heri akafie IKULU. Mungu si Athumani, waliotabiri atakufa wameanza kutangulia wao tangu 2015 na bado wanaendelea kutangulia.

Watanzania tulimpenda saaana awe Rais wetu ila kwa kuwa Chama flani kinaongozwa na nguvu za giza kikafanya figisu mpka Mzee wetu akashindwa.

***ENL***
 
Lowassa dhuluma ndio kipaji chake kaanza zamani sana. Lowassa ndio good reflection ya CCM uroho, ulafi, kujilimbikizia mali na kutokuwa na huruma wala roho ya utu
Kabla sijakujibu ningejua jinsia yako ingenisaidia huoni michango ya maafa kule kwa kina kioo hakidanganyi wameifanya nini !??!
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Vijana wale wawili walikuwa wasomi, na walionekana kuwa asset kubwa katika chama kama ilivyokuwa kwa Tony Blair na Gordon Brown katika uongozi wa chama cha Labour. Vijana wale walipitia safari ndefu katika chama, hatimae waliwekwa makao makuu ya Chama Dodoma, mmoja akiwa msaidizi wa Pius Msekwa akiwa Speaker na mwingine akiwa msaidizi wa John Malecela akiwa waziri mkuu.

Wabunge wa wakati ule walipata shida sana ya usafiri wa kuwafikisha bungeni, magari yalisafiri usiku na wengi walilala njiani, wengine iliwachukua siku tatu/nne kufika bingeni. Iliamriwa wabunge wote watakopeshwa mashangingi ili yawasaidie usafiri.

Waziri Mkuu alifanya biashara nzuri sana na kampuni ya Toyota, hakika wenye kampuni hawakutegemea kuwa kainchi masikini kale kanaweza kununua mashangingi zaidi ya 200 kwa mpigo tena kwa pesa taslimu. Makubaliano yaliuwa waziri mkuu apate 10% ya transaction ile.

Kama mnavyojua kuwa pesa za namna hii haziingizwi bank, basi wawakilishi wa kampuni ya Toyota walikuja na pesa kwenye briefcase wakimtamfuta waziri mkuu, bahati mbaya au nzuri waziri mkuu alikuwa safarini, lakini walipouliza, msaidizi wa waziri mkuu aliwakaribisha ofisini kwake, kijana mtanashati na mwenye sura ya kuvutia. Aliwaambia kama wana maagizo yeyote kwa waziri mkuu wamuachie yeye kwani yeye ni msaidizi wake. Ndipo briefcase lilipoachwa ofisini, msaidizi alifungua briefcase baada ya wageni kuondoka, alichokiona hakutegemea, alilichukua briefcase lile mpaka nyumbani kwake na kukaa kimya.

Waziri mkuu aliporudi aliuliza kama kuna wageni waliomfuata na kumkosa, alipewa habari yote lakini alipomuuliza msaidizi alikana, biashara yote ni ya mazabae, waziri mkuu hakuweza kulipeleka swala hili kokote.

Huu ndiyo mwanzo wa utajiri wa msaidizi na uhasama aliojijengea na watu wa chama.
Aha ha ha ha bila shaka hapa unamzungumia kijana ambae baadae naye akawa Waziri Mkuu ila akaja kujiuzuru kwa kashfa ya Ufisadi.

Na ilipofika 2015 akatoka ktk chama kilichomlea tangu akiwa kijana na akagombea Urais mwaka 2015 kwa mara yake ya kwanza.

Katika mbio zake za Urais alipata ushindani wa majungu saana kutoka ktk chama chake cha ujanani, wengine wakasema ni mgonjwa na hafai kwenda Ikulu. Watanzania wakasema ni heri akafie IKULU. Mungu si Athumani, waliotabiri atakufa wameanza kutangulia wao tangu 2015 na bado wanaendelea kutangulia.

Watanzania tulimpenda saaana awe Rais wetu ila kwa kuwa Chama flani kinaongozwa na nguvu za giza kikafanya figisu mpka Mzee wetu akashindwa.

***ENL***


Moja jumlisha moja unapata mbili.... kama ambavyo Zanzibar na Tanganyika zilivyotoa serikali mbili.

Sasa natafuta mbili jumlisha moja ili nimjue kijana msaidizi wa spika...
 
Back
Top Bottom