Wale vijana wawili

Wale vijana wawili

Ukishakuwa raia wa nchi Fulani, siasa ni sehemu ya maisha yako, uwe mkulima, mwajiriwa au mfanyabiashara, maamuzi wanayofanya wanasiasa yatakugusa.
Najua lakini kwa hili andiko uliloandika inaonyesha wewe ni mwanasiasa aliyekubuhu kama mimi, la Copy and paste
 
ninajua leo nimejitoa mhanga.
Rafiki leo umejilipua ndugu yangu. Ila huo ni ukweli mtupu. Fikiria Chama ni itikadi, je unaweza kujenga itikadi siku moja na ukateuliwa kuwa mgombea kama trump? Hivi ni vioja vya TZ. Lakini nijuze si aliendelea kupata 10% hata baada ya hapo mpaka alivyositukiwa......
 
Hiki kosa cha Lowassa na Malecela siku hizi kinachukiwa sana na CHADEMA.
 
Back
Top Bottom